Huu ni mfereji wa maji machafu ambao unaingiza maji haya katika mto Morogoro kutoka katika mkusanyiko wa Mifereji ya maji machafu. Maji ya mto Morogoro hutumuwa na wakulima wa mboga za majani huko bondeni, pia kuna watu wanatumia kwa matumizi ya nyumbani. Je unasemaje kuhusiana na walaji na watumiaji wa maji huko bondeni?? Mfereji huu upo katika daraja la shani katikati ya mji
MTEMI MAKWAIA WA III AHIMIZA UPENDO KUWA NI NGUZO YA MAENDELEO BUSIYA
-
Chifu wa Utemi wa Busiya Faustine Makwaia wa III akizungumza kwenye sherehe
za Tamasha la utamaduni la Sanjo ya Busiya katika viwanja vya Ikulu ya
utemi h...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment