March 06, 2014

Huu ni mfereji wa maji machafu ambao unaingiza maji haya katika mto Morogoro kutoka katika mkusanyiko wa Mifereji ya maji machafu. Maji ya mto Morogoro hutumuwa na wakulima wa mboga za majani huko bondeni, pia kuna watu wanatumia kwa matumizi ya nyumbani. Je unasemaje kuhusiana na walaji na watumiaji wa maji huko bondeni??  Mfereji huu upo katika daraja la shani katikati ya mji

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE