March 02, 2014


1. Usiharakishe kutoka nyumbani kwa wazazi wako kwa gia ya kwenda kuolewa.
2. Usimsubiri mwanaume mpaka aje ndio uanze kuishi. Unaweza kuishi maisha timilifu hata ukiwa huna mwanaume.
3.Achana na pombe zimewauwa wenzako wengi kwa kisingizio cha kuondoa stress na wewe unaweza kufa pia.
4. Usiwe mtu wa kuendekeza kuzipokea na kuzijibu namba ngeni za simu hasa nyakati za usiku.. sio njia sahihi ya kupatia mpenzi....
5. Tengeneza mazingira ya kuilinda afya. Jitahidi Kunywa maji mengi na Chakula kwa diet achana na viofa ofa vya bure, vimesha waponza wenzio wengi mpaka sasa.
6. Vaa vizuri na kiheshima. Watu watavutiwa na wewe ulivyo kabla ya kuongea nawe
7.Usitumie sex kama ndio mzani wa mapenzi. Unaweza ukaachika tuu pamoja na penzi lako taamu.
8. Usiolewe na mtu kwa sababu ya fedha; Utabakia kuwa mtumwa wake
9. Jiongezee ubora wako, Tafuta kazi, Usiwe mpuuzi ukaamini mwanaume atatatua matatizo yako yote.
10. Jiheshimu sana kwa kuangalia namna ya uvaaji wa mavazi yako na mwonekano wako mbele ya jamii…. Usitegemee kuvaa kimini ukutane na mwanaume wa suti… wewe utampata wa milegezo na kubana pua tu.

Related Posts:

  • Suma Lee aacha muziki Msanii aliyefanya vizuri na single ya ‘Hakunaga’, Suma Lee amesema hatofanya tena muziki kwa sababu ameachana kabisa na maisha hayo. Suma ambaye alitengeneza pesa nyingi kupitia hit yake ya ‘Hakunaga’… Read More
  • ACT: Tunajipanga kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Agosti Dar es Salaam.Chama cha ACT- Tanzania, kimesema hakina muda wa kufanya siasa za chuki na malumbamo dhidi ya vyama vingine vya siasa, badala yake kinajipanga vizuri na kuandaa mazingira ya kushiriki katika uchaguzi mkuu ujao… Read More
  • Al-Shabab watishia kuishambulia tena Kenya Kundi la wanamgambo wa al-Shabab wa Somalia limetishia kuishambulia tena Kenya na kusisitiza kwamba, Wakenya watakabaliwa na vita vya muda mrefu na vya kutisha. Taarifa ya wanamgambo wa al-Shabab imebainisha kwamba, muda sio… Read More
  • Magazeti ya leo April 5/2015 haya hapaIkiwa Leo April 5 2015, wakristu ulimwenguni kote, wanasherehekea kufufuka kwa Yesu Kristu tukimaanisha siku kuu ya Pasaka. Hapa tunakupa fursa ya kupitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo. Ubalozini.blogspo… Read More
  • Kenyatta atangaza siku tatu za maombolezo Kenya Rais Uhuru Kenyatta Wa Kenya ametangaza siku 3 za maombolezo na bendera kupepea nusu mlingoti kufuatia shambulio la kigaidi dhidi ya Chuo Kikuu cha Garissa lililoua karibu watu 150. Akilihutubia taifa kutoka Ikulu ya Nairobi… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE