March 02, 2014

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU
WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUKUTWA NA MAKUBWA
1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

ZAIDI: .udakuspecially.com

Related Posts:

  • Samatta:Nguvu ya mashabiki ilinipeleka TP Mazembe Rais wa TP Mazembe Moise Katumbi (katikati) akiwa kazungukwa na kundi kubwa la mashabiki wa timu hiyo Tunaendelea na ‘Safari Ndefu ya Mbwana Samatta kutoka Mbagala kwenda Ulaya’ jana tuliangalia namna ambavyo Samatta… Read More
  • TCRA-yashukia makampuni ya simu Katika shughuili zake za udhibiti wa huduma za mawasiliano nchini, Mamlaka ya Mawasilaino Tanzania imepokea malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano dhidi ya kuwepo mazingira yasiyo salama katika huduma za m… Read More
  • Rais Magufuli afanya uteuzi wa makatibu wakuu Rais wa Jamburi ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu wa wizara mbalimbali. Aidha, Rais Magufuli pia amemteua Eliakimu Maswi kuwa Kaimu Naibu Kamishna wa … Read More
  • Madee amemtungia wimbo huu Abdu Bonge Ilikua ni Jumamosi ya March 28 2015 ambapo zilianza kusambaa taarifa za kifo cha Miongoni mwa Waanzilishi wa kundi la Tip Top Connection Abdul Bonge,kifo ambacho inasemekana kilisababishwa na ugomvi ambao Marehemu Abdu… Read More
  • Kamanda Suleiman Kova astaafu rasmi Leo December 31 ni siku ya mwisho kwa mwaka ,lakini pia ni siku ya mwisho kwa Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova, kulitumikia jeshi la Polisi nchini kwa kuwa muda wake wa kulifanyia kazi jeshi hilo umeish… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE