March 02, 2014

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU
WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUKUTWA NA MAKUBWA
1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)
Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la The Bettle). Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

ZAIDI: .udakuspecially.com

Related Posts:

  •                                      singl… Read More
  • WIZI WA KAZI ZA WASANII KUKOMESHWA Mtendaji kutoka Kampuni ya Global StandardOne (GS1), Andrew Karumuna akionesha moja ya kazi ya Msanii Judith Wambura(Lady Jay Dee) iliyowekewa alama maalum ya kimataifa ya utambuzi na udhibiti wabidhaa kwenye… Read More
  • MWANA  YUMBA  YA  MAN  CHEGE   KIDEONI.  NI  BONGE  YA  VEDEO  YENYE  UBORA  WA  HALI  YA  JUU… Read More
  • DIAMOND UYOOOO B B A, JPILI Diamond Msanii wa Bongo Flava Naseeb Abdul, aka Diamond,anayetamba na nyimbo zake za nimpende nani na Mawazo, anatarajia kupiga show katika shughuli ya eviction ya Big Brother inayosemekana itakua ni y… Read More
  • CYRILL AMFUNGUKIA OMMY DIMPOZ baada ya mkali wa nai nai Ommy Dimpoz kuongea katika radio mbali mbali na kumuua kwa maneneo Cyrill, kwa kusema "cyrill ni msanii ambae hafanyi show kabisa" Cyrill saa hii kafunguka kupitia XXL ya CloudsFm na kusema k… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE