April 22, 2014


 
Mapenzi Ni Kitu cha ajabu sana kiasi cha kufikia hata kumfanya mtu kuwa kama chizi au mwehu na kukubaliana na hali yoyote ilimradi apate tu PENZI Hii imethibitika zaidi jana Baada ya Madame Wema Sepetu Kutupia picha mtandaoni akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz huku Diamond akiwa amechora tatoo yenye jina la mwanamke mwingine tofauti kabisa na Wema, kama unavyoona hapo kwenye picha mkononi inasomeka "SANDRA". 

fahamu kuwa Sandra ndiyo jina la mama yake na Diamond

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE