Huyu ni producer maarufu na ametengeneza nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea.
Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji
bora wa muziki wa bendi na hivi karibuni amepata ajali ya bajaj na
kuumia kichwani.
C9 anaendelea vizuri na hiyo picha ndiyo jinsi alivyoumia na bajaj jinsi ilivyoharibika
TAZAMA NMB ILIVYOSAIDIA KITUO CHA WALIMU TEMEKE
Benki
ya Nmb imesaidia kituo cha walimu Temeke Meneja wa kanda ya Dar es
salaam ambayo imekabidhi kompyuta mbili na mashine ya kuchapia
karatasi(printer) kwenye kituo cha cha walimu wilaya ya Temeke Dar es
salaam…Read More
Mshambuliaji Emmanuel Okwi.
Na Shakoor Jongo FILAMU ya Emmanuel Okwi na timu yake ya Yanga inaendelea, sasa ni ukurasa mpya baada ya mchezaji huyo raia wa Uganda kutoa kauli.
Okw…Read More
KELVIN YONDANI APOTEA YANGA AKIWA SAFARINI KUELEKEA ARUSHA
Beki Kelvin Yondani hajulikani alipo,
uongozi haujui na hata benchi la ufundi halitaki kulizungumzia suala
Lake. Kocha Msaidizi, Charles Boniface Mkwasa amesema hajui lolote
kuhusiana na beki huyo na asingependa kuzungu…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment