Huyu ni producer maarufu na ametengeneza nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea.
Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji
bora wa muziki wa bendi na hivi karibuni amepata ajali ya bajaj na
kuumia kichwani.
C9 anaendelea vizuri na hiyo picha ndiyo jinsi alivyoumia na bajaj jinsi ilivyoharibika
Maharagande amkumbuka Bob Marley kwa mashairi yake
Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa mziki wa Regge Duniani, Muweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro mjini kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Mbarala Maharagande, amepostmoja ya mashairi ya nyi…Read More
Rais wa Burundi amepinduliwa
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza
Meja Jenerali wa Burundi Godefroid Niyombire alisema siku ya Jumatano
kuwa alikuwa anafanya kazi na makundi ya vyama vya jamii, viongozi wa
dini na wanasiasa kuunda serika…Read More
DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG
Waasi DRC
Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia
ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na
wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda.
Wanane kati ya waliofariki ni…Read More
Ndugu wa Adebayor aomba msamaha
Ndugu na mshambuliaji wa klabu ya
Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo
kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake.
Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba…Read More
Mash J ndani ya XXL, yamkutanisha na Fid q
Msh J
Mwanamuziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro, Mash J anayetamba na ngoma yake ya Mperampera aliyoimba na Stamina, yupo mbioni kufanya kazi na Fid q. Akizungumza ndani ya XXL ya Clouds Fm, Mash J amesema…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment