Huyu ni producer maarufu na ametengeneza nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea.
Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji
bora wa muziki wa bendi na hivi karibuni amepata ajali ya bajaj na
kuumia kichwani.
C9 anaendelea vizuri na hiyo picha ndiyo jinsi alivyoumia na bajaj jinsi ilivyoharibika
SHAKIRA NDANI YA KASHFA NZITO
Sehemu kidogo ya wimbo wa Loca (Spanish version) kutoka kwa mwimbaji Shakira ilikuwa ni kazi ya mtungaji mwingine wa nyimbo anaitwa Ramon Arias Vazquez.
Jaji Alvin Hellerstein alisema toleo la wimbo “Loca” la lugha ya…Read More
Q-CHILLAH AL MKATABA MNONO NA KAMPUNI YA QS
Mbongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipokea mkataba kutoka 'QS Mhonda J Company'.
'Legend' kwenye gemu la Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akipozi.
Na mwandishi …Read More
TB JOSHUA KUTUMA MSAADA WA CHUPA 4000 ZA MAJI YA UPAKO
Nabii maarufu ndani na nje ya
bara la Afrika TB Joshua wa
kanisa la All nations (Scoan) la
nchini Nigeria ametuma chupa
4000 za maji ya upako pamoja na
dola za kimarekani 50,000 nchini
Sierra Leon ili kusaidia kutibu
ugon…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment