Huyu ni producer maarufu na ametengeneza nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea.
Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji
bora wa muziki wa bendi na hivi karibuni amepata ajali ya bajaj na
kuumia kichwani.
C9 anaendelea vizuri na hiyo picha ndiyo jinsi alivyoumia na bajaj jinsi ilivyoharibika
NEW SONG// FLY AWAY - CLASSIC BEYB
Baada ya kufanya poa na wimbo wake wa mwanzo wa Satisfaction, hatimaye mwana dada Classic Beyb amekuja kivingine na hii bonge ya ngoma chini ya mtayarishaji KGT toka G record ngoma inaitwa Fly Away
…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment