Huyu ni producer maarufu na ametengeneza nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea.
Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji
bora wa muziki wa bendi na hivi karibuni amepata ajali ya bajaj na
kuumia kichwani.
C9 anaendelea vizuri na hiyo picha ndiyo jinsi alivyoumia na bajaj jinsi ilivyoharibika
Watanzania waaswa kufanya mazozi kuepuka ugonjwa wa kisukari
Watanzania waaswa kujihusisha na tabia
ya kupenda kufanya mazoezi ili kuepuka ugonjwa wa kisukari na viashiria
vyake katika jamii yetu inayotuzunguka.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Kinga
Wizara ya afya Dkt. Neem…Read More
Askari wa Korea Kaskazini apigwa risasi akijaribu kutoroka
Eneo la linalotenganisha Korea Kaskazini na Korea Kusini (DMZ) , (hapa ni upande wa Korea Kusini).Kèoprasith Souvannavong / RFI
Askari
wa Korea Kaskazini amepigwa risasi akijaribu kutorokea Korea Kusini.
…Read More
Official Video:Rihanna - One More Chance feat. Bryson Tiller
Mwanamuziki mashuhuri ulimwenguni na mwenye vituko kibao mwana dada Rihanna, amezidi kuporomosha mawe kufuatia leo hii kuachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa One More chance akimshirikisha Bryson Tiller
&nbs…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment