April 22, 2014

c9 - Copy 
Huyu ni producer maarufu na ametengeneza  nyimbo kama Mama Ntilie ya A.T na nyimbo nyingi za marehemu Sharo milionea.
Hivi sasa anawania tuzo ya KTMA kwenye kipengele cha mtayarishaji bora wa muziki wa bendi na hivi karibuni amepata ajali ya bajaj na kuumia kichwani.
C9 anaendelea vizuri na hiyo picha ndiyo jinsi alivyoumia na bajaj jinsi ilivyoharibika

Related Posts:

  • Maharagande amkumbuka Bob Marley kwa mashairi yake   Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa mziki wa Regge Duniani, Muweka nia ya kugombea ubunge jimbo la Morogoro mjini kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Mbarala Maharagande, amepostmoja ya mashairi ya nyi… Read More
  • Rais wa Burundi amepinduliwa    Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza Meja Jenerali wa Burundi Godefroid Niyombire alisema siku ya Jumatano kuwa alikuwa anafanya kazi na makundi ya vyama vya jamii, viongozi wa dini na wanasiasa kuunda serika… Read More
  • DRC:Watu 23 wadaiwa kuuawa na waasi wa UG   Waasi DRC   Maafisa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wanasema kuwa watu ishirini na watatu wameuawa kikatili na wanaodaiwa kuwa waasi wa Uganda. Wanane kati ya waliofariki ni… Read More
  • Ndugu wa Adebayor aomba msamaha   Ndugu na mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Emmanuel Adebayor ameomba msamaha baada ya nyota huyo kumshtumu katika mtandao wa facebook na watu wengine wa familia yake. Rotimi Adebayor ameiambia BBC kwamba anaomba… Read More
  • Mash J ndani ya XXL, yamkutanisha na Fid q Msh J   Mwanamuziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro, Mash J anayetamba na ngoma yake ya Mperampera aliyoimba na Stamina, yupo mbioni kufanya kazi na Fid q. Akizungumza ndani ya XXL ya Clouds Fm, Mash J amesema… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE