Viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick na kamanda
wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova walianguka na
Helikopta hii asubuhi ya April 13 2014 kwenye uwanja wa ndege Dar. Hitilafu ilisababisha helikopta kuanguka wakati ikipaa kuwapeleka
kwenye maeneo mbalimbali yaliyoathirika na mvua zinazoendelea kunyesha
ambapo hata hivyo walinusurika kifo isipokua majeraha madogomadogo tu.
Belle 9 ametualika kuitazama video yake hii mpya kabisa
Mwanamuziki kutoka mkoani Morogoro Belle 9, am ametuletea video yake mpya ya Burger Movie Selfie RMX. Katika RMX hiyo utawaona wasanii kama Izzo Bizness, Jux, G Nako, Mr Blue, Maua Sama
Tazama video hapa
…Read More
Yanga VS T P Mazembe, viingilio vyatajwa.
Mchezo wa Yanga na T P Mazembe unaotarajiwa kuchezwa June 28 katika uwanja wa Taifa jijin Dar Es Salaam
Katiak mchezo huo viingilioa vyatajwa kuwa ni
Majukwaa yote ya Mzunguko: 7,000 VIP: 30,000…Read More
Yanga yalalamika kuhujumiwa na TFF na Azama Media
Kuelekea mechi ya kimataifa dhidi ya TP Mazembe klabu ya Yanga imeitupia lawama shirikisho la soka nchini Tanzania TFF kwa kuwahujumu katika haki za kurusha matangazo ya mechi hiyo.lawama hizo zi…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment