April 13, 2014



Habari za hivi punde zinasema kuwa Nguli wa mziki wa dance Mzee wetu Muhidim Gurumo amefariki dunia mchana siku hii ya leo.
  Taarifa kutoka katika familia na msemaji wa Msondo Ngoma Music Band Said Kibiriti  zinathibitisha kuondokewa na Mzee wetu mpendwa. 

Pole ziwafikie wapenzi wote na mashabiki!!
 
Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi
 
Taarifa: Suzy Baltazary


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE