Mbali na headline mbalimbali zilizoanza kutoka mara baada ya kukabidhiwa
kwa tuzo hizi 7 za Kilimanjaro Tanzania Music Award Diamond Platnumz
amekua msanii wa kwanza kupata idadi nyingi ya tuzo tangu kuanzishwa
kwake,ukitoa 20% ambaye mwaka 2011/2012.
Diamond ameandika hiki baada ya kukabidhiwa tuzo hizi.
CHAMELEONE AVUNJA RECORD TUBONGE CONCERT
Chameleone performing on at Lugogo cricket oval grounds
Chameleone''s wife Daniella Atim Mayanja was there to show support
Fans show love for Chameleone
Radio & Weasel thrille…Read More
PICHA HIZI ZINAZOONYESHA TASWIRA YA TRENI ILIYOPINDUKA NA KUUA
Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa
mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa
kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya Mpwampwa. Katika ajali hiyo
watu wawili…Read More
MCHAKATO KATIBA MPYA, AFANDE SELE ATOA LA MOYONI
Afande Sele The'King
Kuhusiana na mambo yanavyokwenda ndivyo sivyo juu ya mchakato wa kupata katiba mpya, uku kila kundi likilia kwa upande wake, Msanii wa muziki wa Hip Hop toka mkoani Morogoro, Afande Sele Mfalm…Read More
Mini Power Roulette ni ushindi
-
Ukiwa na buku tu Meridianbet kasino ya mtandaoni inakuongezea mara dufu
Zaidi, kupitia sloti...
The post Mini Power Roulette ni ushindi first appeared ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment