Mbali na headline mbalimbali zilizoanza kutoka mara baada ya kukabidhiwa
kwa tuzo hizi 7 za Kilimanjaro Tanzania Music Award Diamond Platnumz
amekua msanii wa kwanza kupata idadi nyingi ya tuzo tangu kuanzishwa
kwake,ukitoa 20% ambaye mwaka 2011/2012.
Diamond ameandika hiki baada ya kukabidhiwa tuzo hizi.
Project nyingene toka De Fatality music ni hii hapa
De Fatality Music again , Another Release Of Smaina from Team selekta akimshirikisha Mesen Selekta , wimbo unaitwa UNANIMALIZA . Audio Produced by Mesen selekta under De Fatality Music.
http://ow.ly/POSjL
Contact …Read More
New Audio/ Poison & Nay wa mitego - Manzese na Moro Town
Baada ya kusogeza mbele zoezi la kuachia wimbo wake wa Manzese na Moro Town alioimba na Nay wa Mitego kutokana na msiba wa Mdau wa Media Tanzania Frank Sanga wa Moro, hatiamye mwanamuzki mdogo wa Hip Hop toka Morog…Read More
Hii ndiyo kauli ya Lembli baada ya kuhamia Chadema
2015 ni mwaka wa Uchaguzi Mkuu Tanzania, kila siku stori za Siasa zimekuwa kwenye headlines nyingi kuanzia Magazetini, kwenye TV, Radio na hata mitandaoni.
Mbunge James Lembeli alikuwa pia ni Mwenyekiti wa …Read More
Esther Bulaya aweka bayana kuhusu kuwania ubunge
Aliyekuwa mbunge wa Viti Maalum CCM esther Bulaya, ameweka wazi hatma yake ya ubunge ndani ya CCM. Bulaya ameandika ujumbe huu katika AC yake ya Facebook leo asubuhi
"Habarini watanzania, nimesema nitagombea jimbo l…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment