Mbali na headline mbalimbali zilizoanza kutoka mara baada ya kukabidhiwa
kwa tuzo hizi 7 za Kilimanjaro Tanzania Music Award Diamond Platnumz
amekua msanii wa kwanza kupata idadi nyingi ya tuzo tangu kuanzishwa
kwake,ukitoa 20% ambaye mwaka 2011/2012.
Diamond ameandika hiki baada ya kukabidhiwa tuzo hizi.
MTOTO WA MIAKA MINNE ATEKWA
Kamanda wa polisi mkoani Mwanza Valentino Mlowola
Nchini
Tanzania katika Kijiji cha Ndami, tarafa ya Mwamashimba wilaya ya
Kwimba mkoani Mwanza watu wasiofahamika wamevunja ny…Read More
MVUA KUBWA YANYESHA NA KULETA ATHARI MOROGORO
Gari ya TANAPA ilivyozama leo hii baada ya mvua kubwa kunyesha mkoani Morogoro
Leo hii mkoani Morogoro mvua kubwa ilinyesha na kuleta athari ya uharibifu wa mali mbalimbali,
Mvua hiyo iliyonyesha kwa …Read More
NEW VIDEO/ AKADUMBA - NAY WA MITEGO
Ma bibi na ma bwana, hapa itifaki imezingatiwa, Mwanamuziki toka Manzese anayefanya poa sana nyimbo zake, hapa sasa anakupa fursa ya kutazama video yake mpya ya wimbo unaofanya poa sana kwa sasa wa AKADUMBA.
&…Read More
MIILI 40 YAOPOLEWA BAHARINI
Sala za kuwaombea waliokuwa wasafiri katika ndege hiyo zinaendelea
Kufuatia
kupotea kwa ndege ya shirika la ndege la Asia ndege namba QZ8501At
,miili arobaini imeopolewa kutoka …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment