Mbali na headline mbalimbali zilizoanza kutoka mara baada ya kukabidhiwa
kwa tuzo hizi 7 za Kilimanjaro Tanzania Music Award Diamond Platnumz
amekua msanii wa kwanza kupata idadi nyingi ya tuzo tangu kuanzishwa
kwake,ukitoa 20% ambaye mwaka 2011/2012.
Diamond ameandika hiki baada ya kukabidhiwa tuzo hizi.
Live Match : Barcelona VS Osasuna
Ligi Kuu nchini Ispania inaendelea tena muda huu ambayo inawakutanisha Barcelona wanapambana dhidi ya Osasuna. Fwatilia hapa uapate kujua matokeo ya mchezo huo.
…Read More
Hussein Bashe atuma salam za siku ya muungano
Mbunge wa Nzega mjini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Hussein Bashe, ameungana na watanzania katika maahimisho ya siku hii ya muungano kwa kutuma salam zake kwa taifa letu. Kupitia twitter Mh: Bashe ame tweet
…Read More
Live Match: Arsenal VS Leicester City
Fwatilia hapa mpambano wa kukata na shoka wa ligi kuu Uingereza unaowakutanisha mabingwa wa ligi hiyo Leicester City dhidi ya Arsenal FC. Mpambano wa leo Arsenal wanawakaribisha Leicester
&nbs…Read More
Alikiba kuhamia London
Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba ambae anafanya
vizuri kwa sasa kupitia wimbo wake wa Aje amepata nafasi ya kushiriki
katika tamasha kubwa la mitindo huko london
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ali Kiba am…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment