Mbali na headline mbalimbali zilizoanza kutoka mara baada ya kukabidhiwa
kwa tuzo hizi 7 za Kilimanjaro Tanzania Music Award Diamond Platnumz
amekua msanii wa kwanza kupata idadi nyingi ya tuzo tangu kuanzishwa
kwake,ukitoa 20% ambaye mwaka 2011/2012.
Diamond ameandika hiki baada ya kukabidhiwa tuzo hizi.
Fahamu utofauti wa wa Lodge, Motel na Hotel
Kuna vitu ambavyo unakutana navyo kila siku na inawezekana uelewi maana
yake au sio sahihi na wala hukuwahi kujua kama sio sahihi, sasa kuna
sehemu mbalimbali ambazo zinatoa huduma za hoteli zimeandikwa Lodge,…Read More
New Video: Chege ft Ray C , Sanaipei Tande - Najiuliza
Mtoto wa Mama Side Chege chigunda toka TMK Wanaume, ameachia video ya wimbo wa Najiuliza huku akiwashirikisha wana dada Ray C toka TZ na Sanaipei Tande toka nchini Kenya.Enjoy nao hapa
&n…Read More
Uchaguzi Mkuu TFF wasitishwa
Picha kwa hisani ya Maktaba
Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM
MCHAKATO wa Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) umesitishwa kwa muda hadi hapo itakapotangazwa tena baadaye.
H…Read More
Waliomtetea Malinzi TFF wapigwa chini
Na Mahmoud Zubeiry wa Binzubeiry.co.tz
KAMATI
ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imefanya mabadiliko ya
Kamati ya Uchaguzi na kuwaengua Wajumbe wanne walioonyesha kumtetea
Rais wa shirikisho h…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment