Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
AIRTEL YAPELEKA AIRTEL TRACE MUSIC MOROGORO
Msanii chipukizi wa
kijiwe cha Matofali jijini Morogoro ajulikanaye kwa jina la Jibwa Kali
akionyesha umahiri wake wa kuimba wakati Airtel ilipotembelea vijiwe
mbalimbali mkonia Morogoro na kuzind…Read More
HII NDIO ZAWADI YA 2FACE KUSHEREHEKEA 10 YA MUZIKI
Msanii kutoka pande za Nigeria ambae alipata umaarufu mkubwa Afrika na Dunia kwa ujumla baada ya kuachia wimbo wake wa African Queen na kufanya vizuri kwenye chati za redio na tv kwa kipindi hicho.
Lakini huo h…Read More
KAMANDA NZOWA ATUMIWA PAKA 3 OFISINI
amanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa akiwa ofisini kwake.
Stori: Makongoro Oging’ MAAJABU!
Paka watatu wenye macho mekundu walimshangaz…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment