Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
Hii Hapa Hotuba ya Mwisho ya Muammar Gaddaffi
QADAFFI ANAANZA HIVI: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu (Allah), Mungu mpaji, na mwenye rehema....
Kwa miaka takribani 40 ama ilikuwa zaidi sikumbuki. Nachokumbuka ni kuwa nilifanya kila nilichoweza kuwapa watu wangu …Read More
Kurasa za Magazetini leo Jumapili 16 April 2017
Habari ndugu msomaji. Awali ya yote tunapenda kukutakia kheri ya sikukuu hii tukufu ya Pasaka. Tunakukaribisha uungane nasi katika kupitia kurasa za Magazetini leo hii ikiwa ni jumapili ya pasaka ya 16 Apri 20…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment