Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
Watano kortini kwa kumdhalilisha Rais Magufuli
VIJANA
watano wamefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumdhalilisha Rais Dk.
John Magufuli na Jeshi la Polisi kutokana na mauaji ya askari polisi
wanne waliouawa na majambazi katika eneo la Mbande na Vikindu, Dar es
Sal…Read More
Wabunge wa CUF watoa tamko kuhusu Prof.Lipumba
Baada ya headline za Chama cha wananchi CUF kuwavua uanachama baadhi ya wanachama wake akiwemo aliyewahi kuwa mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba leo September 15 2016 kamati ya uongozi taifa imekutana na waandis…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment