Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
MAKALA: TFF Mtazameni Alphonce Modest kwa jicho la huruma,
Peter dogo anataka nafasi huyo, jiandae kumpisha...゛ni maneno ya
Alphonce Modest akimtania aliyekuwa golikipa namba moja wa Taifa Stars,
Peter Manyika wakati wakiwa safarini katika basi kuelekea Mwanza,
Oktoba, 2001.
…Read More
Tuwasaidie watoto wa Madrassa
Tuungane na HUSNA ABDUL (Dahuu) kuchangia JUZUU na MISAHAFU kwa ajili ya watoto wa madrasa. Kwa watu watakaoguswa kwa ajili ya kujenga kizazi kitakacho mjua Mwenyezi Mungu na kuijenga hofu ya mungu kwenye nafsi…Read More
Faida 30 Za Swaumu Ya Ramadhani na Sheikh Nurdin Kishki
Assalaaam araykum. Ndugu zangu waislam, leo ikiwa tupo katika siku ya tatu ya mwezi wa Ramadhani. Ebu tukumbushane baadhi ya mambo yenye faida hasa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Tunakutana na shekh Nurdin …Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment