Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
FID Q: NIMESTAHILI KUPATA TUZO BAADA YA KUBANIWA MUDA MREFU
Msanii nguli wa Hip Hop Tanzania mwenye mashabiki wengi Fid Q amehabarisha kuwa kila mtu amefurahi kwa yeye kushinda Tuzo
ya Mwana Hip Hop Bora wa Mwaka , Amesema hiyo inajidhihirisha hata
kwenye Social Media kila mtu a…Read More
MGANGA WA DIAMOND AFUNGUKA BAADA YA TUZO 7
Yule mganga maarufu wa mastaa nchini ambaealiwahi kutangaza kuwa amekuwa na ukaribu namwanamuziki Diamond ameibuka na kusemakuwa tuzo hizo saba alizozipata zinamaanakubwa sana kwenye kazi zake anazozifanya.alisema" Nili…Read More
RAY C HOI KITANDANI, AKUMBWA NA UGONJWA MPYA
Ugonjwa wa homa ya dengue umezidi kusambaa mkoani Dar es Salaam na sasa umeathiri wilaya zake tatu na kuzua hofu kwa wananchi.
Miongoni
mwa walioathiriwa na homa hiyo ni mwanamuziki maarufu Rehema Chalamila
(Ra…Read More
WASICHANA ZAIDI WATEKWA NYARA
Nigeria:
Kundi la Boko Haram
Washukiwa wa kundi la wapiganaji
wa kiisilamu nchini Nigeria, Boko Haram, wamewateka nyara wasichana
wengine 8 Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Tukio hili la hivi…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment