Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
Adithi ya Mrisho Mpoto:Nusu ya Faida
Tajiri mmoja alitaka kufanya sherehe na kuwaalika marafiki zake.
Akaandaa kila aina ya chakula lakini hakuweza kupata Samaki, hivyo
akatoa zawadi kwa yoyote atakayemletea Samaki ili sherehe yake
ikamilike.…Read More
Kimenuka, mashirika 110 yafutiwa usajili, orodha hii hapa
Msajili
wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali amefuta usajili wa Mashirika Yasiyo
ya Kiesrikali (NGOs) 109 kwa kuendesha shughuli zao kinyume cha Sheria
ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa mwaka 2…Read More
Rage: TFF Inapaswa Kudai Fidia CAF
Aliyekua Mwenyekiti wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage amelitaka
shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kufuata kanuni za CAF ilii
kufidia gharama walizoingia baada ya timu ya Chad kujitoa kushiriki
michuano y…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment