Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza.
MATOKEO YA RUFAA YA KESI YA BABU SEYA NA MTOTO WAKE PAPI KOCHA
Ile hukumu ya rufaa ya mwanamuziki Nguza Viking na mwanaye Johnson Nguza
'Papii Kocha' imewarejesha jela maisha baada ya hoja za serikali za
kukazia hukumu kuzidi zile za upande wa utetezi.Babu Seya na Papii Koch…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment