May 05, 2014

Kwa mara ya kwanza huu wimbo ulipata nafasi ya kusikilizwa na Watanzania pale kwenye utolewaji wa tuzo za KTMA 2014 wimbo unaitwa ‘mfalme’ wa Mwana Fa ameshirikishwa G nako na umefanywa na Producer Nahreel.
Baada ya kuusikiliza usiache kuandika yako ya moyoni kwenye comment hapa chini kisha Mwana FA atapita hapa usiku kusoma ulichoandika.
Bonyeza play kusikiliza
.

Related Posts:

  • Wapiganaji 300 wa Boko Haram wauawa   Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewauwa zaidi ya wapiganaji 300 wa Boko Haram, baada ya jeshi la nchi hiyo kutwaa tena miji kadhaa iliyotekwa na wapiganaji hao kazkazini mashariki mwa Monguno. Msemaji wa jeshi … Read More
  • Mtoto Yohana Bahati auawa Shilabela   Majina ya maalbino waliokwisha uawa.   Mwili wa mtoto Yohana Bahati aliyekuwa na umri wa mwaka mmoja ambaye ni mlemavu wa ngozi maarufu kama Albino, alitekwa siku ya Jumapili Februa… Read More
  • Wafahamu wakuu wa wilaya wapya na vituo vyao vya kazi   Mkuu mpya wa Wilaya ya Kinondoni Poul Makonda 1. Novatus Makunga Hai 2. Mboni M. Mgaza Mkinga 3. Hanifa M. Selungu Sikonge 4. Christine S. Mndeme Hanang 5. Shaibu I. Ndemanga Mwanga 6. Chrispin T. Mee… Read More
  • Upungufu mkubwa wa Maji walikabili Taifa    Sehemu za ndani ya mikoa ya Tanzania zikiwa kame. Watanzania wanalaani hali ya hewa na kuongezeka kwa joto wakati usambazaji wa maji mijini ukidorora na huku mabishano yakizidi kuwa makali baina ya… Read More
  • Hatujakamata waharifu: jeshi la polisi   Jeshi la Polisi nchini, limesema majambazi waliokuwa wamejificha katika mapango ya Amboni nje kidogo ya jiji la Tanga wamekimbia. Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa jeshi hilo, Kamishna Paul Chagonja, akizu… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE