May 31, 2014

IMG_4162 

Marehemu Geogre Tyson pichani hapa alikuwa yupo kijiji cha Chilonwa Chamwino kwenye utoaji wa madawati katika shule ya msingi Chaula iliyopo Dodoma. Baada ya kumaliza shughuli hii huku akiwa kama producer wa The Mboni Show mauti yalimkuta majira ya saa 12 jioni masaa 4 tu toka tuanze safari ya kurudi Dar es Salaam maeneo fulani hivi kama unataka kukaribia GAIRO mjini.

Katika gari hilo walikuwa watu 8 ila yeye pekee ndio aliyepoteza mauti na wengine kupata majiraha mwilini pamoja na dereva wa gari hilo. Kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika  hospital ya mkoa Morogoro, baadae asubuhi mwili utaanza safari ya kurudi Dar es Salaam
IMG_4166 
 IMG_4176 

PICHA ZA CHINI NI BAADA YA AJALI
 IMG_4213 
 IMG_4214 

 IMG_4215 

Related Posts:

  • Samatta, Aubameyang majogoo wa Afrika Pierre Emerick Aubameyang Mwanasoka raia wa Tanzania anayechezea TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mmbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika.Huku tuzo ya m… Read More
  • Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa isipokuwa ...   Serikali imesitisha zoezi la bomoabomoa katika maeneo mbalimbali isipokuwa katika eneo la bonde la mto msimbazi ambalo linaanzia katika vilima vya pugu hadi daraja la salender jijini Dar es Salaam ambalo hata hivy… Read More
  • New Audio| I do - Caleedy ft Braitz Anaitwa Caleedy, ni mwanamuziki chipukizi toka mkoani Morogoro, amekuletea wimbo wake unaoitwa I do. Caleedy katika wimbo huu amemshirikisha mkali wa wimbo wa Deka anayefahamika kwa jina la Braitz. wimbo umefanywa na Pro… Read More
  • Video mpya ya Linah hii hapa, inaitwa Nia yangu    Mwanamuziki Lina Sanga kutoka nchini Tanzania, ametuletea video yake mpya inayoitwa Nia yangu.  Hapa Linah anakupa fursa ya kuitazama video hiyo.            … Read More
  • Habari za magazetini leo hii January 8 2016Leo Ijumaa January 8, 2016 ni siku ya kihistoria kwa Tanzania kufuatia mshambuliaji wa timu ya Taifa Mbwana Ally Samatta kutw taji la mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza katika vilabu vya ndani ya Bara la Afrika.… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE