May 29, 2014

   
Kanye West na kim Kardashian wameachia picha za harusi yao iliyoripotiwa kufanyika siku ya jumamosi.
Pastor Rich Wilkerson Jr kutoka Northa Miami ameripotiwa kuwafungisha ndoa wawili hao.
 Kanye West na kim Kardashian wameachia picha za harusi yao iliyoripotiwa kufanyika siku ya jumamosi
Kanye na Kim walianza ku-date mwaka 2012
Picha hizi zimetolewa wa mara ya kwanza kupitia E News ambayo ni sehemu ya mtandao unaorusha kipindi cha Keeping Up With The Kardashians

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE