May 26, 2014



Shughuli za upigaji kura zikiendelea nchini Malawi.
Nchini Malawi kura za uchaguzi mkuu zinatarajwa kuhesabiwa upya hii leo katika maeneo ambapo imedhihirika kuwa idadi ya wapiga kura haiwiani na idadi ya wale waliojiandikisha kupiga kura.
Uchaguzi mkuu wa Malawi umezidi kuchukua sura mpya baada ya wanasiasa na wanasheria nchini humo kupeleka malalamiko yao mahakamani, na kuzidi kuchelewesha matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika jumanne iliyopita.
Kulingana na mwandishi wa idhaa ya Kiswahili ya BBC aliye mjini Lilongwe, Baruan Muhuza, hali nchini humo imekuwa ya sintofahamu ambapo hakuna ye yote anayejua uchaguzi utaishia wapi.
Anasema kuwa tume ya uchaguzi imekiri kuwa kuna maeneo kadhaa ambayo kuhesabu kwa kura kutarudiwa kwa sababu kura zilizopigwa zinazidi waliojisajili.
" Tume ya uchaguzi inasema kuwa kuna maeneo mengine ambako watu wamepiga kura mara tatu au mara nne kama vile mji wa Mangochi waliosajiliwa ni watu 39,000 pekee lakini kura zilizopatikana hapo ni 180,000," Baruan alisema.

Related Posts:

  • Magazetini leo jumamosi August 22 ya 2015 Kutoka katika chumba cha habari cha TZA jijini Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Agosti 22,2015 tayari tumeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Ma… Read More
  • Bella 'Amerudi' ni zawadi    Mfalme wa masauti staa Christian Bella amesema kuwa hivi sasa anafanya utambulisho mkubwa wa video ya wimbo 'Amerudi' na bendi yake ya Malaika kama zawadi kwa mashabiki wake katika onesho kubwa la muziki kes… Read More
  • Wafanya biashara wa Nyama Morogoro, kugoma    Picha hii ni kwa hisani ya Maktaba ya Google Baada ya kufungiwa na mamlaka ya chakula na dawa kwa machinjio ya nyama ya manispaa ya Morogoro,wachinjaji na wafanyabiashara wa Nyama katika manispaa ya … Read More
  • Wagombea Rasmi wa Urais ni 8 Tu, Wengine wakatwa Hatimaye katika vyama 12 vilivyochukua fomu za kugombea urais, ni vyama 8 tu ambavyo wagombea wake wamekidhi vigezo vya kugombea urais mwaka huu Tanzania. Vyama hivyo ni CCM, CHADEMA, TLD, ADC, CHAUMA, ACT- WAZALENDO, NRA na… Read More
  • TANESCO Morogoro yakamata watu watano kwa tuhuma za wizi wa umeme Shirika la ugavi wa umeme Tanesco mkoa wa Morogoro limefanya oparation na kuwawakamata watu wanne waliojiunganishia umeme kinyume na sheria katika eneo la Dumila wilaya ya kilosa zikiwemo nyumba za kuishi, kumbi za … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE