May 26, 2014



Shughuli za upigaji kura zikiendelea nchini Malawi.
Nchini Malawi kura za uchaguzi mkuu zinatarajwa kuhesabiwa upya hii leo katika maeneo ambapo imedhihirika kuwa idadi ya wapiga kura haiwiani na idadi ya wale waliojiandikisha kupiga kura.
Uchaguzi mkuu wa Malawi umezidi kuchukua sura mpya baada ya wanasiasa na wanasheria nchini humo kupeleka malalamiko yao mahakamani, na kuzidi kuchelewesha matokeo ya uchaguzi huo uliofanyika jumanne iliyopita.
Kulingana na mwandishi wa idhaa ya Kiswahili ya BBC aliye mjini Lilongwe, Baruan Muhuza, hali nchini humo imekuwa ya sintofahamu ambapo hakuna ye yote anayejua uchaguzi utaishia wapi.
Anasema kuwa tume ya uchaguzi imekiri kuwa kuna maeneo kadhaa ambayo kuhesabu kwa kura kutarudiwa kwa sababu kura zilizopigwa zinazidi waliojisajili.
" Tume ya uchaguzi inasema kuwa kuna maeneo mengine ambako watu wamepiga kura mara tatu au mara nne kama vile mji wa Mangochi waliosajiliwa ni watu 39,000 pekee lakini kura zilizopatikana hapo ni 180,000," Baruan alisema.

Related Posts:

  • DAZ MWALIMU, ADATA Habari kutoka kwa chanzo cha uhakika zinadai kuwa msanii wa zamani wa kundi Daz Nundaz na hitmaker wa ‘Figure Namba 8′ Daz Baba amechanganyikiwa kutokana na hivi karibuni kuonekana akifanya vitendo ambavyo havilingan… Read More
  • HUU NI UNYAMA AZALIA CHOONI NA KUUA KICHANGA KWELI dunia inakwenda ukingoni, mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa ni mke wa mtu, amefanya kitendo cha kinyama baada ya kujifungua msalani na kukiua kichanga chake. Tukio hilo limetokea hivi karibuni maeneo ya Mazizini, … Read More
  • TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2013 NOMA SAANA NDANI YA IRINGA USIKU HUU Anaitwa Shilole na Skwadi lake wakilishambulia jukwaa vilivyo usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013       Pichani ni sehemu ya wakazi wa Mkoa Iringa na vitongoji vyake wakiw… Read More
  • HII KALI, MUME AMRUHUSU MKEWE AJIUZE ILI WAPATE PESA YA CHAKULA KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, hivi karibuni mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la Aisha (26), mkazi wa Tabata, Dar es Salaam alinaswa akifanya ukahaba na kudai kwamba ana ruhusa kutoka kwa mumewe ambaye … Read More
  • FIESTA MBEYA HAPATOSHI Msanii wa muziki wa kizazi kipya,ambaye kwa sasa anafanya vyema kwenye anga za muziki huo,Neylee akiimba kwa hisi jukwaani huu wakati tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea kwa shangwe ndani ya uwanja wa Sokonine. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE