July 07, 2014

beyonce-042214

Beyonce amekuja tena na hii mpya hivi sasa, mbali na kutajwa kuwa ni anaongoza katika ile listi ya watu maarufu duniani kwa utajiri, amemwaga kitita cha dola milion saba($7 million) kwa ajili tu ya ujenzi wa nyumba simple tu za watu wasiojiweza na masikini, wakiwemo watoto wadogo pamoja na wazazi na wajane ambao hawana mahala pa kuishi katika mji alikokulia yeye mwenyewe Beyonce. Kutokana na kitendo hiko cha kumwaga hela hizo kwa ajili ya ujenzi wa nyumba hizo, watu wengi wametokea kumsifia katika mitandao ya kijamii kwa moyo wake huo aliouonyesha mwanamuziki huyo maarufu duniani.
beyonce-L-5
Mbali na ujenzi huo, imesemekana kuwa Beyonce amekuwa karibu sana kushiriki katika ujenzi mkubwa wa nyumba za ibada katika mji huo, “She’s an incredible human being. Has an incredible heart and has been extremely helpful in our mission and our ministry here,She has a global platform and is doing some amazing work and I’m glad she’s a friend of mine,”-alifunguka kiongozi mmoja wa kidini huko nchini marekani, aliyejulikana kwa jina moja la Rasmus.
beyonce-jpeg

Je una chochote?? tuandikie kupitia ramadhaniahmadi@gmail.com

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE