
Jana july 16th) ni siku ambayo msanii Linah ameagwa rasmi kutoka katika chuo cha THT, baada
ya kupata management N.F.Z (No Fake Zone) entertainment iliyokwisha anza kusimamia kazi zake.

Video pamoja na audio zimefanyika chini ya uongozi huo mpya ambao una malengo ya kumfikisha hasa kimataifa.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment