July 20, 2014

 

Shakira amekuwa mtu wa kwanza duniani kwenye mtandao wa Facebook kupata Likes milioni 100 katika ukurasa wake.
Nyota huyo wa muziki kutoka nchini Columbia amevunja rekodi hiyo siku nne tu baada ya kufanya onyesho katika fainali za michuano ya kombe la dunia nchini Brazil.
                
Katika AC yake ya facebook Shakira ameandika 

"Enough fans to fill 1,359 Maracanã Stadiums!" Check out the amazing infographic Facebook has put together about Shak's 100 million fans! ShakHQ

Español: https://www.facebook.com/shakira/posts/10152673659239560Português: https://www.facebook.com/shakira/posts/10152673671109560Français: https://www.facebook.com/shakira/posts/10152673664214560 (4 photos)

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE