Baada
ya shindano la kusaka vipaji la serengeti Supa Nyota kuendeshwa kwa
miaka miwili mwaka huu utaratibu umebadilika kidogo kwani haitohusisha
washiriki wa jinsia zote na badala yake akina dada pekee ndiyo
watakaoruhusiwa kushiriki Supa Nyota Diva. First Lady wa Supa Nyota
mwanadada Ney Lee, anamwita first lady kwa sababu mpaka sasa hivi hakuna
binti aliyewahi kushinda katika Serengeti Supa Nyota zaidi yake, ambapo
amewataka akinadada wote wenye vipaji wajitokeze kwa wingi katika
shindano hilo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment