Mzee Njenje ambaye umaarufu wake umetokana na muziki wake kupitia nyimbo kadhaa alizoimba akiwa na bendi yake ya The Kilimanjaro Band kwa sasa hali yake si nzuri sana kiafya.
Miongoni mwa vitu alivyowausia wasanii hao ni kutenga muda wa kupumzika zaidi kabla ya kupanda jukwaani na kuwaambia wajitahidi zaidi kupanda na maji ya kunywa wanapokuwa jukwaani.
Hizi ni baadhi ya picha za wasanii hao walipoenda kumuona Mzee Njenje.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment