Habari si ndiyo hii sasa,Zile Tshirt zenye chata la Sheedah lenye chembe
chembe za Kijeidaaahh!!! Pambaika kikamanda kwa buku 20,000 sasa
zinapatikana kitaan.maelezo zaidi yako ndani ya namba ..0652 700
033..ShigidiSheeedaah!!! Pia kwenye magari ya fiesta unaweza kujipatia
BIF YA CHID NA NAY WA MITEGO. TAZAMA PICHA HII
Kwa picha hii sina hakika kama hawa jamaa bif yao inaendelea. Hapa walikuwa Singida katika Shangwe za Selengeti Fiesta 2013. picha hii imepigwa na rais wa Manzese Madee hayupo …Read More
SERENGETI FIESTA 2013,SINGIDA MOTEL USIKU HUU NOMA SANA
Baadhi
ya wakazi wa mkoa wa Singida wakiwa wamejitokeza kwa wingi usiku huu
kwenye tamasha la Serengeti Fiesta 2013 linalofanyika kwenye viwanja vya
Singida Motel usiku huu.
Msanii
wa muziki wa kizazi k…Read More
FIESTA SUPER NYOTA NAMBA MBILI 2012, HUYU HAPA,
Joh Maker
Fiesta Super Nyota ilianza mwaka 2012, Mshindi aliibuka Young Killer toka Mwanza, lakini nafasi ya pili ilikamatwa na Joh Maker toka mkoani Morogoro. Unazifahamu kazi zake? Mbo…Read More
New Audio: Joh Maker-Nakunyoa Kipara
Anaitwa Joh Maker, kama utakumbuka ni mshindi namba mbili wa Fiesta Super Nyota 2012, toka mkoani Morogoro. Hii ni ngoma yake
Song -Nakunyoa Kipara
Artist p- Joh Maker
Producer -…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment