November 01, 2014


 Karibu sana katika 2nd anniversary tangu kurejea kwa THE LEGEND DJ JOHN DILLINGA MATLOU jomamosi hii tarehe 1/11/2014 ndani ya isumba lounge (jollies club). Ratiba zitaanza saa 3 usiku, kiingilio 15,000/- kabla ya saa 6 usiku na 20,000/- baada ya muda huo. Tulianza pamoja njoo tutimize pamoja

Related Posts:

  • Official HD Video :Nisamehe Bure -Ochusheggy   Ukali, uwezo na ubora wa sauti yake, tunaweza sema vya kulithi siku zote huwa vinazidi. Ochu Sheddy mtoto wa mwanamuziki mkongwe nchini Eddy Sheggy, ametuletea wimbo wake mpya u naitwa Nisamehe Bure   &… Read More
  • B Dozen atia neno mvutano wa Diamond na Alikiba Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds Fm,Hamis Burhani Mandi B Dozen amefunguka mambo machache kuhusu mvutano wa Diamond na Alikiba pamoja na team zao katika mitandao ya kijamii. Katika mahojiano na Times Fm kweny… Read More
  • Official Music Video: Korede Bello Ft. Lil Kesh - My People Kile kipenzi cha wakina dada barani Afrika kutokea nchini Nigeria Korede Bello, ameachia tena video yake nyingine inaitwa My People. Ana muda hajasikika masikioni mwako wala machono mwako kwa video mpya. Sasa Kored… Read More
  • Uchaguzi kurudiwa nchini Kenya Raila Odinga akiongea na waandishi wa habari mapema leo baada ya tamko la Mahakama  Mahakama ya Juu nchini Kenya imefutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa Urais uliofanyika Agosti 8 mwaka huu, ambapo Uhuru Kenyatt… Read More
  • Official Video: Dogo Janja - Ngarenaro   Kutoka Ngarenaro, mwanamuziki Dogo janja, ametuletea video ya wimbo wake mpya wa Ngarenaro. Dogo Janja ameuachia wimbo huo siku ya juzi na Video yake ameiachia dakika 27 zilizopita. Kuwa wa mwanzo kuitazama Video… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE