September 03, 2017

Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha Clouds Fm,Hamis Burhani Mandi B Dozen amefunguka mambo machache kuhusu mvutano wa Diamond na Alikiba pamoja na team zao katika mitandao ya kijamii.
Katika mahojiano na Times Fm kwenye kwenye uzinduzi wa viatu ‘SultanXforemen’ vya msanii wa filamu na mchekeshaji, Idris Sultan. B Dozen alisema ni kitu kizuri iwapo kitawaletea fedha.
“Ni game inasonga mbele, unaona kama kwenye wiki hizi mbili pamechangamka kweli, kumekuwa na team hii na team hii as long as hakuna ambacho kitatokea baada ya mabishano yanayondelea kwenye social media, radio station na Tv kwenye interview zao,” amesema.
“Ni kitu kizuri ilimradi kiwe kinawatengenezea hela isiwe ni tuwe na namba kubwa ya followers na like kwenye page zao na views kwenye YouTube bila ku-make money it won’t make sense lakini kama inatengeneza hela it very goog thing,” ameongeza.
Siku za hivi karibuni Diamond na Alikiba pamoja na mashabiki wao walikuwa na mchuano mkali katika mitandao ya kijamiii baaada ya kutoka ngoma ‘Seduce Me’ ya Alikiba na ‘Zilipendwa’ ya Diamond/WCB.

Related Posts:

  • Mr. Nice amshukia Rais Mr. Nice Mr Nice amechukizwa na hatua za rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza ya kutangaza nia ya kuombea urais kwa awamu ya tatu kinyume na katiba hali ambayo imesababisha machafuko. Rais wa Burundi Pi… Read More
  • Abou Diaby atemwa Arsenal   Mabingwa wa Kombe la FA mara mbili mfululizo Arsenal wamemtema kiungo wao Abou Diaby. Mchezaji huyo mwenye kipaji, 29, alikuwa akifananishwa na gwiji wa Arsenal Patrick Viera na kocha Arsene Wenger, lakini amekuwa … Read More
  • Bernard Membe apata udhamini wa kishindo katika mkoa wa Ruvuma Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vijana, waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege wa mj… Read More
  • Ben Pol nitafunga ndoa ya kimila    Staa wa Bongo Fleva anaye fanya vizuri kwa sasa na ngoma yake ya ‘Sophia’ Ben Pol amefunguka kuwa atafunga ndoa ya kimila kwenye harusi yake. Akipiga stori na Clouds Fm hivi karibuni,alisema kuwa atafunga n… Read More
  • Yasome maneno ya Ramadhan Singano baada ya mikataba yote kufutwa Simba SHIRIKISHO la soka TanzaniaTFF limezitaka klabu kushirikiana na SPUTANZA pamoja na Bodi ya Ligi katika kuweka mifumo mizuri ya uingiaji mikataba.   TFF inao mkataba mama (template) ambao klabu zote na wachez… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE