December 27, 2014


Mkurugenzi mtendaji wa Nyumbani Park & Samaki Sport Farida mess Matlou alivamiwa na majambazi na kumjeruhi.Tukio hilo lilitokea usiku wa Trh 19 kuamki 20 maeneo ya nyumbani kwake Kihonda.
Sehemu alizoathilika
  Mkurugenzi huyu alivamiw ausiku wa saa saba alipokuwa akitokea ofisini kwake ( Nyumbani Park) akirejea nyumbani kwake maeneo ya Kayenzi M/Songo ndipo alipofika Nyumbani kuteremka ndani ya gari ili aingie ndani na kuvamiwa na majambazi hao waliomjeruhi sehemu za kichwani na kupora zaidi ya  pesa taslim Ml 20 za kitanzania.

   Kwa taarifa zilizofikia mtandao huu ni kwamba tayari watu wawili wamekatwa kuhusishwa na tukio hilo.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE