January 14, 2015

GK1

Msanii wa Kundi la East Coast Team, King Crazy GK jana amefunguka na kuweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mwanadada mrembo na mwenye sauti matata Diva Loveness Love wa Clouds Fm.Akizungumza na kipindi cha Mkasi kupitia EATV Jumatatu (Jan.12), GK alisema Diva ni mpenzi wake na anampenda sana kuliko alivyowahi kumpenda mtu yoyote kimapenzi, huku akidai kuwa mitandao ya kijamii imechangia ku-boost penzi lao.
“inawezekana, kwa sababu ni mwema kwanza halafu na mitandao, unakuta watu wana exchange information, mpenzi wangu wa sasa anazungumziwa sana kwa sababu kuna njia nyingi za kupashana habari” alisema GK.
Baada ya kauli hiyo mwanadada Diva ambae ni mtangazaji wa Ala za Roho ndani ya Clouds Fm, kupitia ukurasa wake wa instagram aliandika: “Aww My baby .. My Gk told ya .. I love him so much .. I love his Charm and his intelligence . best Man On earth.. eeh niambieni kasemaje??”
Hii inaonyesha kuwa kweli ni wapenzi na Mapenzi yao yana nguvu kubwa. Bongo Swaggz inawatakia kila la kheri na mpendane zaidi na zaidi.
-bongo5

Related Posts:

  • MAMI YA WATU MOROGOR WAUAGA MWILI WA MTOTO NASRA RASHIDI         Safari ya Mwisho ya Nasra.kutoka hospitali ya mkoa wa Morogoro hadi Jamhuri stadium na baadaye Makaburi ya Kolla.Tunaamini sisi tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.alikuon… Read More
  • Mtoto wa Pele afungwa jela miaka 33 Brazil 23 seconds ago Gwiji wa soka Pele akionekana mwenye huzuni. Akiwa na umri wa miaka 43, mchezaji mpira mstaafu, atatumikia kifungo kwa kosa la kujipatia p… Read More
  • MAJAMBAZI YAUA ARUSHA Mwananchi mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja ameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi eneo na Clock Tower jijini Arusha. Majambazi hao walikuwa wakipora kwenye Bureau De Change iitwayo Nothern ambapo mareh… Read More
  • MAMA YAKE ZITTO KUZIKWA KIGOMA KESHO    Mzee Stephen Wassira akimpa Zitto pole na faraja katika msikiti wa Maamur.Picha kwa hisani ya Khalfan Said. Maiti ya Bi Shida Salum, mama mzazi wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, imesaf… Read More
  • RAY C ALITAMANI PENZI LA KIKONGWE MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia 60. Akizungumza kat… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE