“inawezekana, kwa sababu ni mwema kwanza halafu na mitandao, unakuta watu wana exchange information, mpenzi wangu wa sasa anazungumziwa sana kwa sababu kuna njia nyingi za kupashana habari” alisema GK.
Baada ya kauli hiyo mwanadada Diva ambae ni mtangazaji wa Ala za Roho ndani ya Clouds Fm, kupitia ukurasa wake wa instagram aliandika: “Aww My baby .. My Gk told ya .. I love him so much .. I love his Charm and his intelligence . best Man On earth.. eeh niambieni kasemaje??”
Hii inaonyesha kuwa kweli ni wapenzi na Mapenzi yao yana nguvu kubwa. Bongo Swaggz inawatakia kila la kheri na mpendane zaidi na zaidi.
-bongo5
0 MAONI YAKO:
Post a Comment