January 26, 2015

 
Ripoti kutoka nchini Mali zinasema kuwa watu wasiojulikana wameshambulia msafara wa kijeshi karibu na mji wa Timbuktu.
Wanajeshi wawili waliuawa kwenye mji ulio kaskazini wa Douékiré.
Shambuliz hilo linajiri wakati ambapo kiwango cha mashambulizi kimeongezeka siku za hivi majuzi.
Wiki iliyopita watu waliokuwa na silaha waliishambulia kambi moja ya umoja wa mataifa na kumuua mlinda amani mmoja kutoka Chad.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE