Baada ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Rimex ya John iliyoimbwa na yemmy Alade wa Nigeria na yeye kuipa jina la Penny, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Mash J, safari hii imekuja tena na wimbo wake mpera mpera aliomshirikisha Stamina na wimbo huo umefanyika katika studio za Kwanza Records chini ya Producer Vennt Skillz
WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUEPUKA KUFANYA KAZI KWA MAZOEA
-
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya
Rufaa, Jacobs Mwambegele akizungumza Mkoani Morogoro leo tarehe 28 Aprili,
2026 wa...
1 hour ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment