Shirika
la ndege la Kenya, Kenya Airways leo limeanza rasmi kupunguza safiri
zake katika uwanja wa ndege wa Dar es Salaam kufuatia agizo la mamlaka
ya anga ya Tanzania kuamuru shirika hilo kupunguza safari zake kutoka 42
kwa wiki hadi 14.
Machaku
0 MAONI YAKO:
Post a Comment