March 01, 2015

MUDA
TUKIO
MHUSIKA

1.
12:00 - 01:00

Familia na Waombolezaji kupata chai nyumbani

Kaimu Katibu wa Bunge
2.
01:00 - 04:00
Misa ya kuaga mwili wa Marehemu

Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa

3.
04:00 - 04:30
·         Ndugu, Jamaa na Wananchi kuwasili katika Viwanja vya Karimjee

·         Viongozi wa Vyama vya Siasa, Waheshimiwa Wabunge, Manaibu Waziri, Mawaziri kuwasili na kuketi katika nafasi zao

Katibu wa Bunge

4.
04:33
Kiongozi wa Upinzani Bungeni  kuwasili

Kaimu Katibu wa Bunge
5.
04:36
Mhe. Naibu Spika kuwasili

Kaimu Katibu wa Bunge
6.
04:39
Mhe. Spika kuwasili

Mhe. Naibu Spika
7.
04:42
Mhe. Waziri Mkuu kuwasili

Mhe. Spika
8.
04:50
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili
Mhe. Spika

9.
05:00
Mhe. Rais kuwasili

Mhe. Spika
10.
05:00
Mwili wa Marehemu kuwasili  kwa gwaride maalum la Sergeant-At-Arms

Katibu wa Bunge
11.
05:00 - 05:15
Sala fupi
Kanisa Katoliki,
Parokia ya Bikira Maria Mpalizwa
12.
05:15 - 05:20
Wasifu wa Marehemu

Kaimu Katibu wa Bunge
13.
05:20 - 05:30
Salamu na Rambirambi za Chama cha Mapinduzi (CCM)

Katibu Mkuu, CCM
14.
05:30 - 05:35
Salamu na Rambirambi kutoka kwa Kiongozi wa Upinzani Bungeni

Kiongozi wa Upinzani Bungeni
15.
05:35 - 05:45
Salamu na Rambirambi za Serikali

Waziri Mkuu
16.
05:45 - 05:55
Salamu na Rambirambi za Uongozi wa Bunge

Mhe. Spika
17.
05:55 - 06:00
Neno la Shukrani toka kwa familia

Mwakilishi wa Familia
18.
06:00 - 06:15
Utaratibu wa safari

Kaimu Katibu wa Bunge
19.
06:15 - 07:15
Kuaga Mwili wa Marehemu kulingana na Itifaki

MC
20.
07:15
Mwili wa Marehemu kuondoka uwanjani kuelekea Uwanja wa Ndege

MC
21.
07:20 - 07:25
Viongozi wa Kitaifa kuondoka kulingana na Itifaki

MC
22.
07:40
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndege

Kaimu Katibu wa Bunge
23.
08:00
Mwili, Familia na Waombolezaji kuondoka kuelekea Songea

Kaimu Katibu wa Bunge
24.
10:00
Mwili wa Marehemu kuwasili Uwanja wa Ndge Songea na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
25.
10:00 - 10:15
Mwili wa Marehemu kuelekea Uwanja wa Majimaji

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
26.
10:15 - 11:00
Mkuu wa Mkoa kuongoza wakazi wa Ruvuma kuaga mwili wa Marehemu

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
27.
11:00 - 01:00
Mwili wa Marehemu kuondoka Uwanja wa Majimaji kuelekea Lituhi, Nyasa

·         Ofisi ya Mkuu wa Mkoa

·         Kaimu Katibu wa Bunge
28.
01:00
Mwili kuwasili nyumbani na taratibu za kifamilia kuendelea

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE