March 29, 2015

Aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini Ndugu Zitto Kabwe amesema hatagombea nafasi ya Uenyekiti katika chama alichojiunga

nacho hivi karibuni cha ACT. Amesema hayo muda mfupi kupitia redio E FM katika kipindikatika mahojiano kinachoitwa 'Mezani'.

Zitto anasema tayari nafasi zote zimeshajazwa fomu na zimerudishwa tayari

na yeye hakujaza fomu za kugombea.

Anasema wote wale waliosema amekwenda ACT ili

awe kiongozi watakuwa wameumbuka

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE