April 06, 2015

Makaburi ya halaiki yafukuliwa Tikrit

Wataalamu wa kuchunguza maiti, wameanza kuyafukua zaidi ya makaburi 12 ya halaiki, katika mji wa Tikrit, nchini Iraq.

Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya wapiganaji wa Islamic State, kutimuliwa nje ya mji huo.

Makaburi hayo yaanaminika kuwa na zaidi ya maiti elfu moja mia saba ya wanajeshi waislamu wa Kishia, waliouwawa vibaya mwezi Juni mwaka jana na wanamgambo wa I-S

Related Posts:

  • VIDEO | Agatha Mbale - Wape Habari Mwanamuziki wa Hip Hop toka mji kasoro Bahari Morogoro, Agatha Mbale ametuletea video ya wimbo wake mpya unaitwa Wape Habari, Huu hapa tumekuwekea                … Read More
  • AUDIO: Dj Seve ft Mzee wa Bwax - Biriani DOWLOAD HAPA Listen to Dj Seven Feat Mzee Wa Bwax - Biriani I Machaku Media byAhmadi Machaku on hearthis.at … Read More
  • New Audio: Roma ft One Six - Anaitwa ROMA Mlisema maeacha, sasa ameanza upyaaaaaaaaa. Ni wimbo mpya kabisa wa ROMA unaitwa Anaitwa Roma akimshirikisha mwanamuaziki ONE 6. Listen to Roma_ft_one_six_anaitwa_roma- Machaku Media byAhmadi Machaku on hearthis.at … Read More
  • Video: Rajram - Pop Corn Official Video ya mwanamuziki mkali wa Free Style kutokea mkoani Morogoro Rajram    (RAJRHYMES )  imekamilika na nipo hewani nkwa ajili yako shabiki na mdau wake .        DOW… Read More
  • New Audio: Baba wa Taifa - Zombie ft Bestiny Tanzania Tukiwa tunaadhimisha miaka ishirini ya kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania Mwl. Julius Kambarage Nyerere Baba wa Taifa. Mwanamuziki toka mkoani Morogoro Zombie ametuletea wimbo maalum … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE