May 30, 2015

 Swahiba mkubwa wa Marehemu Albert Mangweah M 2 THE P akiimba kwa hisia kali usikuwa leo

Tamasha la kumbukumbu maalum kwa merhrmu Albert Mangweah limenyika usiku wa kuamkia leo katika ukumbi wa Maisha Club mkoani Morogoro. Katika tamasha hilo lililohudhuliwa na wasanii kibao wakali toka Dar es salaam na Morogoro, wasanii wengi walionekana kukonga nyoyo za mashabiki waliohudhuliamkatika tamasha hilo
 Mfalme wa Rhymes Tanzania Afande Sele akishusha mashairi kw alisala
 Mwanamuziki Squezer akiwakilisha vema kabisa

 MB toak Yakuza mob 

Mash J toka mokomoko Movement akikisanua
 Philipo Nyandindi O-Tenakiimba kwa hisia
 Poison akifanya makamuzi jukwaani
Mash J kulia akiimba Mperampera jukwaani huku Dogo sady akimsindikiza
 Hii ndiyo Mokomoko Movement  hapa ni Mash J,Poison na Dogo sady

 Mkali wa Hip Hop toka Morogoro Poison akiwa Red Carpet

 Afande Sele na O-Ten katika Red Carpet

 Warembo nao hawakuwa nyuma

 Baadhi ya wadau waliohudhulia Tamasha la kumuenzi Ngweah
Mc Calvin Zombi Prezdaa akifanya yake

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE