Nguli wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania na ndiye inayeaminika ni msanii mwenye mashabiki wengi sana Sir Juma Nature, jana alifanya ibada miungoni mwa ibada za mwezi wa Ramadhani baada ya kufuturisha kwa waliofunga nyumbani kwake.
MR. MANGURUWE MATATANI, BODI YA NYAMA WATINGA KIJIJI CHA NGURUWE
-
Timu ya Viongozi kutoka Bodi ya Nyama Tanzania wakiongozwa na Kaimu Msajili
Mkuu John Chasama wamefika katika Mradi wa Kijiji Cha Nguruwe Dodoma
kinacho...
11 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment