Tukiwa bado tupo katika kipindi cha kuelekea kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Udiwani, Ubunge na Rais, tumekuwa tukiwaletea matukio mbalimbali yatakayoendana na tukio hili kubwa la kitaifa. Leo hii tunawaletea kipande kidogo cha Hotuba ya Rais wa kwanza wa Tanzania mwalim J.K Nyerere juu ya kiongozi asiyefaa kuwa rais wa Tanzania
RAIS SAMIA ATOA BIL 5 KUREJESHA MIUNDOMBINU YA BARABARA NA MADARAJA - LINDI
-
Mvua kubwa za El-Nino zilizonyesha zimeleta athari maeneo mbalimbali hapa
Nchini ikiwemo katika Mkoa wa Lindi ambapo zimesababisha uharifu mkubwa wa
miun...
1 hour ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment