July 26, 2015

            Khadija Shaban “Keisha”

Wakati Wema Sepetu akiangukia pua katika kinyanganyilo cha kuwania ubunge wa viti maalum msanii mwenzake wa nyimbo za bongo Fleva Khadija Shaban “Keisha” ambaye pia ni mlemavu wa ngozi ameshida kura za maoni za ubunge wa viti maalum kupitia chama cha Mapinduzi huko Dodoma

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE