July 25, 2015


Msani wa bongo fleva Diamond Platnumz ameshinda tuzo ya ‘African Achievers Awards’ katika tuzo zilisofanyika Afrika kusini usiku huu, Tuzo aliyoshinda Diamond ni ya Artist of the Year ‘Msanii Bora Wa Mwaka’. Meneja wa Diamond Sallim Sk amepost katika ACyake ya instagram na wadau wengi kupongeza tukio hilo

  

Ubalozini.blogspoycom tunatoa pongezi nyingi kwa Diamond na menejiment nzima

Related Posts:

  • Sita wanaswa wakiiba maji Dawasco    Pampu iliyowahi kukamatwa na mafundi wa Shirika la Majisafi na Majitaka Jijini Dar es salaam (Dawasco) iliyokuwa ikivuta Maji kiholela kutoka kwenye laini ya bomba kubwa  SHIRIKA la Majisafi na Majit… Read More
  • Waliokamatwa kwa uchangudoa Moro wahukumiwa Machangudoa wakiwa chini ya ulinzi wa polisi. Stori: Dustan Shekidele, Morogoro WAREMBO waliokamatwa hivi karibuni kwenye msako wa machangudo na wazururaji uliofanywa na jeshi la polisi, wamefikishwa katika Mahakama y… Read More
  • Shein aomba ushirikiano DAKTARI Ali Mohammed Shein amekiomba radhi Chama cha Wananchi (CUF) kiaina wakati wa sherehe za kuapishwa kwake kuwa Rais wa Zanzibar leo kwenye Uwanja wa Aman Abeid Karume, Zanzibar, anaandika Happyness Lidwino. Bil… Read More
  • Kwa mashabiki wa Juma Nature, hii hapa video yake mpya inaitwa Kadaruso    Mkongwe wa muziki nchini Juma Kassim Ally Kiroboto maarufu Juma Nature Kibra amekuletea video ya wimbo wake mpya inaitwa Kidaruso, katika video hiyo yumo mmoja ya warembo wa Tanzania    &nbs… Read More
  • Sassou Nguesso ashinda tena urais Congo    Rais wa Denis Sassou-Nguesso amekua malakani kwa zaidi ya miaka 30 Rais wa Congo- Brazaville, Denis Sassou-Nguesso, ametangazwa kuwa ndiye mshindi wa uchaguzi wa urais, ambao upinzani u… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE