Ni maneno ya kiongozi wa C.U.F katibu mkuu Maalim Seif Sharrif Hamad kuhusu ishu nyingi za uchaguzi mkuu wa Tanzania unaohusisha Ubunge na Urais ambapo unatarajiwa kufanyika October 2015.Hpa Millarda Ayo ametuletea Video yake
Katumbi ahojiwa na waendesha mashtaka DRC
Mwanasiasa wa upinzani aliyetangaza
atawania urais nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi
amehojiwa na maafisa wa mashtaka mjini Lubumbashi.Hii ni baada ya serikali kumtuhumu kwa kuwaajiri maml…Read More
Nuh Mziwanda atangaza vita
Msanii
Nuh Mziwanda amesema hajutii maisha yake aliyoyapitia akiwa na mpenzi
wake wa zamani, kwani amesha move on (kusonga mbele).
Nuhu
Mziwanda ambaye hivi karibuni ameachia kazi yake ya ‘Jike Shupa’
aliyomsh…Read More
Waziri wa Magufuli anyooshwa jimboni kwake, apewa maji machafu
Wakazi wa Kijiji cha Nala na vitongoji vyake juzi walimpelekea maji
machafu Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na
Walemavu Anthony Mavunde wakimtaka ayanywe kwa kuwa ndiyo wanayotumia.
M…Read More
Official Video: Mr.Nay True Boy - Saka Hela
Mkali wako wa muziki wa Bongo fleva nchini Tanzania, yule jamaa wa kuwashkisha adabu wakaishika, Nay wa Mitego True Boy, ameachia video ya wimbo wake mpya kabiosa unaoitwa Saka Hela. Video ya wimbo huo imefanyika…Read More
Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa
-
Je unajua kuwa unaweza kumaliza Wikendi yako kirahisi sana ukiwa na
Meridianbet kwani ODDS...
The post Tandika jamvi lako na Meridianbet hapa first app...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment