August 09, 2015

                    

 Sherehe za uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara. Kivuko hicho kina uwezo wa kubeba abiria 100 na magari 6 mara moja na kimetengenezwa kuanzia mwaka jana kwa gharama ya shilingi Bilioni 3.3

                        
Rais Kikwete akizindua rasmi kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara.

                           

  Rais Kikwete akiongea na wananchi wakati wa sherehe za uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara.

                           

  Picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara kitachofanya safari kutokea Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara.

                          

 Rais Kikwete, Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli, Mama Salma Kikwete na viongozi na wananchi wakiwa kivuko cha MV Mafanikio kwenye pwani ya mji wa Mtwara wakitokea  Msemo kuelekea Msangamkuu muda huu mkoani Mtwara mara baada ya uzinduzi wa kivuko hicho.


Related Posts:

  • POLE FLAVIANA; PONGEZI KWA ULICHOKIFANYA Jana ilikuwa siku ya kumbukumbu ya miaka 16 tangu kutokea kwa  ajali ya MV Bukoba.Kumbukumbu ya ajali hiyo iliyosababisha vifo kwa maelfu ya watanzania ilifanyikia huko mkoani Mwanza. Pamoja na matukio mengine kadh… Read More
  • DIAMOND , JOKATE HE HE HEEEE Diamond akiwa na Jokate. Naseeb Abdul ‘Diamond’. Jokate. KITENDO cha hivi karibuni cha mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond’ kunaswa hotelini na staa wa filamu za Kitanzania, Aunt Ezekiel, kumetibua mambo na sasa in… Read More
  • CYRILL AMFUNGUKIA OMMY DIMPOZ baada ya mkali wa nai nai Ommy Dimpoz kuongea katika radio mbali mbali na kumuua kwa maneneo Cyrill, kwa kusema "cyrill ni msanii ambae hafanyi show kabisa" Cyrill saa hii kafunguka kupitia XXL ya CloudsFm na kusema k… Read More
  • WIZI WA KAZI ZA WASANII KUKOMESHWA Mtendaji kutoka Kampuni ya Global StandardOne (GS1), Andrew Karumuna akionesha moja ya kazi ya Msanii Judith Wambura(Lady Jay Dee) iliyowekewa alama maalum ya kimataifa ya utambuzi na udhibiti wabidhaa kwenye… Read More
  • WASTARA AZUNGUMZIA HALI YA SAJUKI                            WASTARA  mke  wa  Sajuki Mke wa Sajuki (W… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE