August 03, 2015


Mwigizaji Wa filamu za Kibongo, Irene Uwoya ameibuka mshindi kwenye kinyang'anyiro cha kura za maoni ubunge viti maalum Vijana(CCM) Tabora.
Uwoya alipata kura 38 sawa na asilimia 95% huku mshindi wa pili akipata kura 34.

chanzo: Cloudsfm Radio

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE