October 13, 2015

Mgombea wa Urais wa CCM Dr John Pombe Magufuli leo amewapongeza wasanii @diamondplatnumz @ommydimpoz na @vanessamdee kwa ushindi wao waliopata katika tuzo za Afrimma zilizofanyika huko Marekani. Magufuli ambaye amekuwa akitembea na baadhi ya wasanii katika kampeni zake za uraisi amewaahidi kwamba hatowatupa baada ya kampeni "nipo tayari kwa lolote lile juu yenu hata kama sitopita"
 
Souce:seetheafrica

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE