October 13, 2015

mwapachu 
 Kuna taarifa zilizosambaa katika mitandao mbalimbali kwamba Eti Balozi Juma Mwapachu amekihama Chama Cha Mapinduzi

Mwapachu ni moja wa wasomi, na balozi mwenye heshima kubwa ndani na nje ya nchi. Na kama  kwa kweli ataondoka basi ni pigo kubwa sana kwa CCM, hasa linapokuja suala la kumanage mabalozi wa nje. Mwapachu anaheshimika sana na mabalozi wa nje hasa Marekani na nchi za Ulaya.

Hili hapa inasemekana ndiyo tamko la Mwapachu


Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE