
Kwa mara nyingine tena mwanamuziki anayefanya poa katika anga la bongo fleva Chibau mtoto wa Pwani , anakuja tena na ngoma yake mpya kabisa inayoitwa Mademu. Katika wimbo huu Chibau amemshirikisha Nay True Boy ambaye naye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Nyumbani kwetu pamoja na Suprano.
Wimbo umefanyika katika studio za Free Nation chini ya mtayarishaji machachari nchini Mr: T
0 MAONI YAKO:
Post a Comment