November 28, 2015

 
  Kwa mara nyingine tena mwanamuziki anayefanya poa katika anga la bongo fleva Chibau mtoto wa Pwani , anakuja tena na ngoma yake mpya kabisa inayoitwa Mademu. Katika wimbo huu Chibau amemshirikisha Nay True Boy ambaye naye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Nyumbani kwetu pamoja na Suprano.
 Wimbo umefanyika katika studio za Free Nation chini ya mtayarishaji machachari nchini Mr: T

Related Posts:

  • Bei ya mafuta yashuka zaidiBei ya sasa ta mafuta ndiyo ya chini zaidi tangu mwaka 2003 Bei ya mafuta imeshuka hadi chini ya dola 28 kwa pipa licha ya kuwepo hofu kuwa kuondolewa kwa vikwazo vya Iran kutashusha bei zaidi kutokana na tatizo la uzalishaji… Read More
  • Hii ndiyo Albam inayoongoza kwa mauzoKumbukumbu za kumuezi david Bowie Albamu ya Black starya gwiji wa muziki Marehemu David Bowie inaongoza kwa mauzo nchini marekani baada ya kutolewa siku mbili kabla ya kifo chake. Albamu hiyo imeuza kopi 181,000 na hivyobasi … Read More
  • Jeshi la Polisi DSM limefanikiwa kuwanasa wafanyabiashara wa dawa za kulevya         Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuwanasa wafanyabiashara wakongwe wa dawa za kulevya nchini ambao pia wanadaiwa kufanya biashara haramu za binadamu… Read More
  • Nahreel kamkatalia Mkenya Producer maarufu wa Tanzania kwenye muziki wa bongoflevaNahreel ameingia kwenye top stories za leo kwenye Dstv.com baada ya kukataa kumpa beat yake staa mmoja wa hip hop nchini Kenya. Nahreel ambaye mikono yak… Read More
  • Pitio la Magazeti ya leo jumanne january 19, 2016 Karibu mwana familia wa ubalozini.blogspot.com, Leo hii January 19,2016 siku ya jumanne tunakupa tena fursa ya kupitia magazeti yetu ya leo kama yalivyotufikia na kubeba habari zenye uzito wa juu. … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE