November 28, 2015

 
  Kwa mara nyingine tena mwanamuziki anayefanya poa katika anga la bongo fleva Chibau mtoto wa Pwani , anakuja tena na ngoma yake mpya kabisa inayoitwa Mademu. Katika wimbo huu Chibau amemshirikisha Nay True Boy ambaye naye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa Nyumbani kwetu pamoja na Suprano.
 Wimbo umefanyika katika studio za Free Nation chini ya mtayarishaji machachari nchini Mr: T

Related Posts:

  • MARKEL: TUTAWALINDA WAYAHUDI NA WAISLA,U UJERUMANI Kansela Angela Merkel   Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel ameahidi kuwalinda Wayahudi na Waislamu wanaoishi nchini Ujerumani dhidi ya ubaguzi. Amesema demokrasia ndiyo njia bora ya kupambana na machafuko yanayo… Read More
  • MWANA BLOG HOI KWA KIPIGO Mwanablogu Raif Badawi ana majeraha ambayo hayawezi kumruhusu kupewa adhabu nyingine  Saudi Arabia imeahirisha adhabu ya kumchapa viboko mwanablogu Raif Badawi kwa sababu ya afya yake. Mwanablogu huyo ambaye pia ni… Read More
  • WATANZANIA WENGI WAFUNGWA HONG KONG Kasisi mmoja raia wa Australia amefichua na kuthibitisha kuwa kuna idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika katika magereza ya Hong Kong, wengi wao wakiwa ni kutoka Tanzania. Kasisi huyo John Wortherspoon ambaye … Read More
  • ESCROW YAWAFIKISHA WENGINE MAHAKAMANI LEO HII   MZIMU wa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, limeendelea kuwatafuna watuhumiwa  wa uchotwaji wa  mabilioni ya fedha za akaunti hiyo baada ya watuhumiwa wengine watatu kupandishwa mchana wa leo kizimban… Read More
  • HUU NDIYO MPANGO MPYA WA THT 2015            Imezoeleka Tanzania House of Tallent (THT) imekua ikitoa wasanii peke yake ambao asilimia kubwa ya wasanii wengi wa Bongo Fleva wamepitia kwenye mikono ya Nyum… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE