November 28, 2015


  majaliwa 
Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa, amewasimamisha kazi watumishi wengine watatu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) ili kupisha uchunguzi zaidi wa tuhuma zinazowakabili.
Watumishi hao hawaruhusiwi kusafiri kwenda nje ya nchi hadi uchunguzi dhidi yao utakapokamilika.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE