November 28, 2015





http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/11/image-28-11-15-14_58.jpeg
Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue ametoa ufafanuzi wa maagizo ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli kuhusu kupunguza matumizi yasiyo yalazima katika Wizara, idara na taasisi za serikali.
Katika ufafanuzi huo Balozi Sefue amemtaka kila mtendaji mkuu ama Afisa Masuhuli wa Serikali kujiuliza mwenyewe ni kwa kiasi gani anatekeleza kwa vitendo nia ya Rais ya kuepuka matumizi yasiyo ya lazima.

Related Posts:

  • WhatsApp haitofanya kazi kwenye simu hizi hadi mwishoni mwa mwaka huu WhatsApp imetangaza kuwa haitofanya kazi tena kwenye baadhi ya simu za kizamani hadi mwishoni mwa mwaka huu. App hiyo imetangaza kutozisupport tena zimu zinazotumia mifumo ya zamani ya Windows, Android na Apple hadi Janu… Read More
  • Video: Maiti yagoma kuzikwa   Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Filauni. Hii imetokea huko nchini Kenya ambapo maiti moja imegoma kuzikw akama ilivyopangwa. Tazama Video hapa               &nb… Read More
  • NMB Yadhamini Semina ya Bloggers BENKI ya NMB imedhamini semina ya Wamiliki wa Mitandao ya Kijamii nchini Tanzania maarufu kama ‘Bloggers Network’ (TBN) ambapo imetoa hundi ya shilingi milioni kumi. Hundi hiyo imekabidhiwa leo na Ofisa Uhusiano wa B… Read More
  • Kocha bora anatoka hapa   Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA, wametangaza majina ya makocha watatu waliobaki katika kinyang’anyiro cha kuwania. Tuzo ya Kocha Bora wa Dunia mwaka 2016 ambapo mshindi atatangazwa Januari,9,2017 huko … Read More
  • Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Mabalozi 21   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DK. John Pombe Magufuli leo, amefanya uteuzi wa Mabalozi wa Tanzania katika nchi mbalimbali. Akiitoa taarifa hiyo kwa wana Habari Mkurugenzi wa Mawsiliano Ikulu Ndugu Gerson… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE