January 06, 2016

Screen Shot 2016-01-06 at 4.58.19 PM 
MAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan amewataka maafisa misitu kote nchini kuacha mara moja kuwahamisha wananchi wanaoishi kwenye mapori huku wakifyeka mazao yao kwa madai ya uvamizi wa hifadhi.
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwahutubia mkutano wa hadhara mjini Geita uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Kalangalala katika ziara yake ya siku mbili mkoani humo, ambapo amesema kuwa pamoja maafisa misitu nchi nzima kukaa vikao na kuelimishwa jinsi ya kuhamisha watu hao, bado baadhi yao wamekuwa wakitekeleza hatua hiyo kinyume kwa kuwanyanyasa wananchi.
Naye Mbunge wa Geita mjini Constatine Kanyasu akaitoa madai dhidi ya kampuni ya uchimbaji wa dhahabu ya Geita GGM
Pamoja na majibu ya Naibu waziri wa nishati na madini, makamu wa Rais akatoa agizo.

Related Posts:

  • RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) - Sehemu ya Tisa Mtunzi: Enea Faidy Ilipoishia Sehemu ya 8 ( Bofya hapa Kama Hukuisoma ) ..Mwalimu John alipelekwa makuburini kwaajili ya mazishi ingawa yeye alijiona yuko hai. Dorice alikuwa njiani baada ya kutoroka shulen,… Read More
  • Brand New Audio: Mash J ft G-Nako- Taarifa Mkali wa Hip Hop toka mkoani Morogoro Mash J Mperampera ameachia Audio ya wimbo wake wa Taarifa aliomshirikisha G-Nako. Wimbo huo uliofanywa na Producer Vennt Skillz wa Kwanza Record za Mkoani Morogoro Video yake ilian… Read More
  • TUNGO: "je, utakubali kuolewa na mimi"? Mwandishi: Gulam Mhedu Gulam alimuuliza mpenzi wake ambae ni mtarajiwa wake katika ndoa. Mpenzi wa Gulam akainua kinywa chake kutaka kuzungumza lakini Gulam akamzuia na kumwambia yafuatayo; Akamwambia kabla hujanipa j… Read More
  • Moyes ajiunga na Sunderland   David Moyes apata kazi Sunderland. Atachukua nafasi yake aliyekuwa meneja wa klabu hiyo Sam Allardyce David Moyes amebahatika kupata nafasi hiyo baada ya Sam Allardyce kuchaguliwa kuwa msimamizi wa timu ya kitaifa y… Read More
  • Kurasa za Magzeti ya leo jumapili 24 Julai 2016  Habari ndugu msomaji wa blog hii. Tunakukaribisha katika kuarasa za magazetini leo hii 24 Julai 2016 siku ya jumapili. Habari kubwa zilizoandikwa katika kurasa za nyuma na za mbele ni hizi hapa … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE