January 06, 2016

Screen Shot 2016-01-06 at 4.58.19 PM 
MAKAMU wa Rais Samia Suluhu Hassan amewataka maafisa misitu kote nchini kuacha mara moja kuwahamisha wananchi wanaoishi kwenye mapori huku wakifyeka mazao yao kwa madai ya uvamizi wa hifadhi.
Kauli hiyo ameitoa wakati akiwahutubia mkutano wa hadhara mjini Geita uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Kalangalala katika ziara yake ya siku mbili mkoani humo, ambapo amesema kuwa pamoja maafisa misitu nchi nzima kukaa vikao na kuelimishwa jinsi ya kuhamisha watu hao, bado baadhi yao wamekuwa wakitekeleza hatua hiyo kinyume kwa kuwanyanyasa wananchi.
Naye Mbunge wa Geita mjini Constatine Kanyasu akaitoa madai dhidi ya kampuni ya uchimbaji wa dhahabu ya Geita GGM
Pamoja na majibu ya Naibu waziri wa nishati na madini, makamu wa Rais akatoa agizo.

Related Posts:

  • Leo katika magazeti yetu ya TanzaniaKutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili  Octoba 11, 2015 tumeingia katika chumba cha habari cha TZA kinachomilikiwa na Millard Ayo na  tayari tumeyakusanya Magazeti yote ya leo hii  na stori zake kubwakubwa … Read More
  • Slaa amfagilia Magufuli, aisifu ACT kupambana na ufisadi Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema anamkubali kwa asilimia 90 mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli akisema anafaa kwa nafasi hiyo kwa kuwa ni jasiri na ana uwezo wa kup… Read More
  • Makamba amlipua Kingunge Katika mkutano mkuu wa uzinduzi wa kampeni za mgombea ubunge wa Tabora mjini ndg Emmanuel Mwakasaka, Katibu mkuu mstaafu wa CCM Taifa mzee Yusufu Makambakama mgeni rasmi azungumzia mengi ikiwa kumnadi Mgombea Urais, mgombea … Read More
  • Kilele cha tuzo za AFRIMMA 2015, Tanzania yanga'ara Good news kwa Tanzania… Yes, hii ni kwenye burudani kwa mara nyingine tena, Bongo Fleva ni muziki ambao umefika mbali kutokana na juhudi za watu wengi walioamua kuweka ngumu nyingi kuhakikisha huu muziki unafika kwenye… Read More
  • lowassa aiteka Tarime Vijana wa Mjini Tarime wakiongoza mapokezi ya Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, alipowasili mjini Tarime kwa Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 10, 2015.… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE