January 09, 2016


mb dog ft lil wayne
 Kumekuwa kuna tetesi mbalimbali kuwa MB Dog yuko katika mipango ya kufanya Collabo na Msanii wa HipHop wa nchini Marekani maarufu kama Lil Wayne.

Meneja wa MB Dog kwa sasa aitwae QS Muhonda katika kipindi cha Bongo Fleva ya Clouds Fm, amethbitisha kuwa wako katika mazungumzo na Management ya Lil Wayne katika kufanikisha hii Collabo, Mb Dog kwa sasa anatamba na video ya nyimbo yake mpya iitwayo sio siri ambayo ameifanya nchini Afrika ya Kusini! Kila laheri Mb Dog.

Related Posts:

  • New Audio| Ben Poul & Msechu - Ntota ya Sambo   Dar es Salaam, Tanzania – February 3, 2016 - Tanzania's Best Vocalists of all time Ben Pol & Peter Msechu have teamed up to release an amazing mash-up collaboration ‘NYOTA YA SAMBOIRA’ as a pre-Valentine's … Read More
  • Halima Mdee " hii biashara ya raisi hatajwi iachwe"                           Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam, Halima James Mdee, jana amezua… Read More
  • Video| Dayna Nyange - Angejua   Official Video ya msanii DAYNA NYANGE. Wimbo unaitwa ANGEJUA, audio imetengenezwa FREE NATION Producer ni MR T-TOUCH. Video imefanywa na KWETU STUDIOS, Directed by Msafiri Shabani. Itazame hapa chini kisha toa… Read More
  • Mwanafunzi Mtanzania avuliwa nguo India   Mwanafunzi Mtanzania alishambuliwa na kuvuliwa nguo na umati uliokuwa na hamaki katika jiji la Bangalore, kusini mwa India. Alishambuliwa baada ya gari la mwanafunzi kutoka Sudan kumgonga na kumuua mwanamke mmoja … Read More
  • Ndege yatoboka shimo la kushangaza Ndege hiyo ililazimika kutua muda mfupi baada ya kupaa Ndege ya kubeba abiria imetua kwa dharura katika uwanja wa ndege mjini Mogadishu, Somalia ikiwa na shimo kubwa kwenye kiunzi chake. Shimo hilo kwenye ndege hiyo lilitobo… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE