February 22, 2016

                          
Rais wa Uganda Yoweri Museveni atoa jibu kwa EU na Marekani kuhusiana na shutuma zao kwa uchaguzi wa urais nchini humo na kuwaambia kuwa hahitaji mihadhara

Yoweri Museveni atoa ujumbe kwa EU na Marekani na kuwaambia kuwa waache kuingilia siasa za Uganda.

Museveni amekuwa uongozini tangu mwaka 1986 na siku ya Jumamosi aliibuka kuwa mshindi huku mpinzani wake Kizza Besigye akikamatwa siku ya Jumapili.Ujumbe wa waangalizi wa EU ulisema kuwa shughuli za uchaguzi ulikuwa si wa haki na uadilifu.

Nchi nyingi ambazo ni wanachama wa EU zilikata misaada kwa Uganda huku Marekani ikiweka vikwazo vya visa na kusitisha mazoezi ya kikanda ya kijeshi.

Related Posts:

  • Hoteli yashambuliwa Tripoli    Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja maarufu kufikiwa na wageni kutoka nje katika mji mkuu wa Libya, Tripoli, na kuua walinzi watatu na watu wengine 12 kujeruhiwa. Watu kadha wenye silaha walivamia h… Read More
  • CUF- Waandamana leo. Prof Lipumba akamatwa na polisi  Leo January 27 2015 Chama cha wananchi Cuf- kimefanya maandamano ya kumbukumbu ya mauaji ya 2011 Visiwani Zanziba. Lakini katika maadhimisho hayo yameingia dosari baada ya viongozi wa ngazi za juu wa Cuf kukatwa na p… Read More
  • Wanajeshi wawaua waasi waliojisalimisha    Wakaazi wa kazkazini magharibi mwa Burundi wameiambia BBC kwamba walishuhudia wanajeshi wa serikali wakiwaua waasi waliojisalimisha.  Wanakijiji wa mkoa wa Cibitoke walisema kuwa takriban waasi 17 wal… Read More
  • Official Music Video: Mash J X Stamina - MperaMpera   Baada ya kuachia audio ya wimbo wake Mperampera aliomshirikisha Stamina, msanii toka Mkoani MOROGORO Mash J, sasa ameachia rasmi video ya wimbo huo unaofanya poa sana kwa sasa. Official Video ya msanii MASH J F… Read More
  • Viboko washambulia wavuvi    Mtu mmoja amefariki dunia na wawili kujeruhiwa baada ya kuvamiwa na wanyama aina ya kiboko wilayani Butiama. WAKAZI wa kijiji cha Chimati wilayani Butiama mkoani Mara wamekubwa na hofu kubwa baada kuibuka… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE