March 18, 2016

 
 Katika ukurasa wake wa Facebook, Ismail Jussa ameandika hivi


Kuna kitu hichi kinasambazwa kikidaiwa kwamba ati ni barua ya Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (ambapo waliotunga wamemuandika ni Ahmed Nassor Mazrui).

Hakuna kitu kama hicho. Tunawaomba wananchi wote WAKIPUUZE!

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE