March 09, 2016

Refarii Jonesia Rukyaa

Refarii wa kike wa kimataifa wa Tanzania mwenye beji ya FIFA, Jonesia Rukyaa ameteuliwa kuungana na waamuzi kutoka nchini Kenya kuchezesha mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Kombe la dunia kwa wanawake wenye umri chini ya miaka 17 (WWC-Q 17) mwishoni mwa mwezi huu.
Jonesia Rukyaa atakua mwamuzi wa akiba katika mchezo huo kati ya Misri dhidi ya Cameroon utakaochezwa jijini Cairo wikiendi ya tarehe 25,26,27 Machi, 2016.
Muamuzi wa kati katika mchezo huo atakua ni Carolyne Wanjala (Kenya), akisaidiwa na Carolyne Kiles (Kenya), Mary Njoroge (Kenya), huku kamishna wa mchezo huo akiwa ni Leah Annette Dabanga kutoka jamhuri ya Afrika ya Kati.

Kumbuka kuwa Jonesia Rukyaa ndiye aliyechezesha mpambano wa watani wa jadi Simba na Yanga na simba kulala kwa goli mbili bila

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE