Mambo vipi ndugu mdau wa Ubalozini.blogspot.com. Tunaomba leo hii tukurudishe nyuma kidogo katika nyanja ya burudani. Tunakupa myda wetu nawe tenga muda wako kuburudika na kibao hiki cha Sea cha kwake Papii Kocha akiwa na baba yake mzee wetu Nguza Viking maarufu kama babu Sea.
JOPO LA MAWAKILI WA SERIKALI 40 KUTUA TANGA KLINIKI YA KISHERIA
-
Na Oscar Assenga,TANGA
JOPO la Mawakili wa Serikali 40 wanatarajiwa kutua mkoani Tanga mahususi
kwa ajili ya kusikiliza kero sugu za kisheria ambazo...
1 hour ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment