Mambo vipi ndugu mdau wa Ubalozini.blogspot.com. Tunaomba leo hii tukurudishe nyuma kidogo katika nyanja ya burudani. Tunakupa myda wetu nawe tenga muda wako kuburudika na kibao hiki cha Sea cha kwake Papii Kocha akiwa na baba yake mzee wetu Nguza Viking maarufu kama babu Sea.
LINDI YAJIVUNIA MCHANGO WA NGO's KATIKA MAENDELEO
-
Na. WMJJWM-LINDI
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack amesema Serikali inatambua mchango
wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika kuleta maendeleo kw...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment