Sanduku lenye Mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda
Kosovo ukiwasili mapema leo mchana katika nyumba ya Ubalozi wa
Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar,kwa ajili ya kuagwa na
hatimae mazishi yake kufanyika jioni ya leo katika Makaburi ya Kinondoni
jijini Dar.
Waziri Nape Nnauye akisalimiana na Waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini, Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo ambaye anatarajiwa kuzikwa jioni ya leo Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Waziri
wa Habari,utamaduni,Sanaa na Michezo.Mh Nape Nnauye akisalimiana na
Waombolezaji waliofika kwenye msiba wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo ambaye anatarajiwa kuzikwa jioni ya leo Makaburi ya Kinondoni jijini Dar.
Waziri
wa Habari,utamaduni,Sanaa na Michezo, Mh. Nape Nnauye akitoa salamu za
rambirambi kwa Waombolezaji, wakati wa kuaga mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo,katika nyumba
ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar ,Ndanda
Kosovo anatarajiwa kuzikwa jioni ya leo Makaburi ya Kinondoni jijini
Dar.
Baadhi
ya Marafiki ndugu jamaa na wanamuziki wenzake wakiwa wamekusanyika nje
ya nyumba ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar
,wakisubiri kuwasili kwa mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika leo alasiri katika makaburi ya Kinondoni.
Mwanamuziki Lady Jay Dee akiwasili kwenye kuaga mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo mapema leo mchana.
Sanduku lenye mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo likiwa mbele ya Waombolezaji tayari kwa kuanza kumuaga.
Baadhi ya
Marafiki,Ndugu na Jamaa wakiwemo Wanamuziki wenzake wakiwa wamejipanga
nje ya nyumba ya Ubalozi wa Congo,iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini
Dar, wakisubiri kuupokea mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika leo alasiri katika makaburi ya Kinondoni,jijini Dar.
Waombolezaji wakiwa katika hali ya huzuni.
Baadhi ya
Marafiki ndugu jamaa na wanamuziki wenzake wakiwa wamekusanyika nje ya
nyumba ya Ubalozi wa Congo, iliopo Hananasifu-Kinondoni jijini Dar,
wakisubiri kuwasili kwa mwili wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo kwa ajili ya kuagwa na hatimae mazishi yake kufanyika leo alasiri katika makaburi ya Kinondoni.
Mama wa Marehemu Onawembo Ngongo a.k.a Ndanda Kosovo akilia
kwa uchungu mara baada ya kuwasili mwili wa Marehemu mwanae kwenye
nyumba ya ubalozi wa Congo,Hananasifu-Kinondoni jijini Dar mchana huu.
Baadhi ya waombolezaji wakilia kwa uchungu.
Baadhi ya Wanamuziki na Ndugu Jamaa na marafiki wakiwa kwenye msiba huo.
Shughuli ya mazishi ya staa wa Muziki aliyefariki mwishoni mwa wiki
iliyopita, Ndanda Kosovo ‘Kichaa’ katika Makaburi ya Kinondoni jijini
Dar,
Mwanamuziki huyo Ndanda Kosovo ‘Kichaa’
amezikwa leo Jumatano kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo
maandalizi yamefanyika kwenye nyumba ya Ubalozi wa Congo DRC iliyopo
Kinondoni-Hananasif jijini.
Dodoo alisema wameamua kumzika marehemu
hapa nchini kufuatia wosia wake alioutoa mbele ya Waziri wa Habari,
Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye wakati akizungumza na
wanamuziki wa dansi katika Ukumbi wa Vijana Kinondoni mwezi uliopita.
Katika kikao hicho Ndanda alisimama na
kusema endapo akifa basi maiti yake izikwe hapa Tanzania kwa kuwa ndipo
mahali alipopatia mafanikio makubwa ya kimuziki na anahisi ndiyo sehemu
ambayo atazikwa na watu wengi kuliko Lubumbashi alikozaliwa.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment