May 26, 2016


13269419_1109188999169399_1336650774_n  
Kuna uwezekano mkubwa staa wa Marekani, Ne-Yo akaja tena Tanzania kwa mara ya pili.


Akiongea na mtangazaji wa Jembe FM, JJ baada ya show ya Jembeka Festival Jumamosi iliyopita, Ne-Yo alisema wimbo huo utaachiwa hivi karibuni.

“Baada ya wimbo kutoka ni lazima nije tena kwasababu tutautumbuiza,” alisema muimbaji huyo wa Miss Independent. “I will definitely be back,” alisema.

Wawili hao waliutumbuiza wimbo huo pamoja kwenye tamasha hilo lililofanyika jijini Mwanza. Msikilize zaidi hapo chini.


0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE