May 18, 2016


 



  Watengenezaji wa meli wamesema hii ndio meli kubwa zaidi duniani itakayokuwa ikibeba abiria. Meli hii imepewa jina la Harmony of the Seas.
Inawafanya kazi 3,000,inauwezo wa kuchukua abiria 6780,  kwa wiki kutembea na hii meli ni £900 kwa mtu mmoja, ila kwenye eneo la bata ni £2,760 kwa mtu mmoja.
Watengenezaji wa meli hii wanasema imechukua miezi 32 kujenga meli hii ya Harmony of the Seas, ni meli ya 25 kwenye meli za Royal Caribbean International fleet.
 

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE